Maelezo ya Chini
a Yehova anaahidi kupatia amani wale wenye wanamupenda. Amani yenye Mungu anatupatia njo nini, na tunaweza kufanya nini juu tuipate? Kuwa na “amani ya Mungu” kutatusaidia namna gani wakati magonjwa inatokea mu eneo yetu, wakati tunapambana na misiba, ao wakati tunateswa juu ya imani yetu? Hii habari itajibia ile maulizo.