Maelezo ya Chini
a Siye wote wenye kumuabudu Yehova tunajikazaka kusoma Neno yake kila siku. Watu wengi pia wanasomaka Biblia; lakini, hawaelewake kabisa mambo yenye wanasomaka. Ni vile pia ilikuwa kwa watu fulani wakati Yesu alikuwa ku dunia. Wakati tunachunguza maneno yenye Yesu aliambia wale wenye walikuwa nasoma Neno ya Mungu, tutajifunza mambo mbalimbali yenye inaweza kutusaidia tufaidike na usomaji wetu wa Biblia.