Maelezo ya Chini
c Maria alijua muzuri Maandiko na alikuwa anaitaya. (Lu. 1:46-55) Inawezekana Yosefu na Maria hawakukuwa na makuta ya kujiuzia kopi za Maandiko. Kwa hiyo, walikuwa nasikiliza kwa uangalifu wakati watu walikuwa nasoma Neno ya Mungu ku sinagogi ili waweze kuikumbuka kisha.