Maelezo ya Chini
a Ndugu na dada wengi wanakumbukaka wakati ya muzuri yenye walipitisha pamoya na wazazi wao Wakristo na wako nafurahia uumbaji. Wanaendelea kukumbuka namna wazazi wao walitumia ile nafasi ili kuwafundisha juu ya sifa za Yehova. Kama uko na watoto, namna gani unaweza kuwafundisha juu ya sifa za Mungu kupitia uumbaji? Hii habari itajibia ile ulizo.