Maelezo ya Chini
b Musomi moya wa Biblia anafasiria hivi: “Zamani mu mashariki, watu waliwaza kama walikuwa na daraka ya kuwa wakarimu na waliwaza kama mwenye alialika watu alipaswa kuhakikisha kuwa kuko mambo mingi yenye imetayarishwa zaidi tu ya ile yenye wageni wako nayo lazima. Juu ule mwenye alialika watu aonekane kama alipanga mambo muzuri, zaidi sana ku karamu ya ndoa, alipaswa kutayarisha vinywaji na chakula mingi sana.”