Maelezo ya Chini
a Kama mutu fulani mwenye unapenda alishakufa, bila shaka ahadi ya Mungu ya kufufua wafu itakufariji sana. Sasa, namna gani unaweza kufasiria wengine sababu yenye inafanya uamini ile ahadi? Na namna gani unaweza kuamini kama ile ahadi itatimia kabisa? Hii habari itatusaidia tuamini kabisa kama Mungu atatimiza ahadi yake ya kufufua wafu.