Maelezo ya Chini
a Watu wengi leo hawaamini ahadi ya dunia mupya yenye Biblia inazungumuzia. Wanawaza kama ni ndoto tu. Lakini, tuko hakika kama ahadi zote za Yehova zitatimia. Hata vile, tunapaswa kufanya mambo fulani juu ya kufanya imani yetu iendelee kuwa nguvu. Tutafanya vile namna gani? Hii habari itafasiria.