Maelezo ya Chini
a Dada vijana wapendwa, muko wa maana sana mu kutaniko. Munaweza kuwa Wakristo wenye kukomaa kiroho kwa kukomalisha sifa zenye kumufurahisha Mungu, kwa kujifunza ufundi mbalimbali, na kwa kujitayarisha kwa ajili ya madaraka yenye kuya. Mukifanya vile, mutapata baraka mingi mu utumishi wa Yehova.