Maelezo ya Chini
b Neno ya Mungu inaonyesha kama haiko muzuri bibi na bwana waachane. Kama wanafanya vile, ile haiwapatie ruhusa ya kuoa ao kuolewa tena. Lakini kuko hali fulani za nguvu zenye zimefanya Wakristo fulani wafikirie kuachana na bibi ao bwana yao. Ona maelezo ingine ya 5 “Kutengana” mu kitabu Furahia Maisha Milele!