Maelezo ya Chini
a Hata kama Maandiko ya Kiebrania haitumie maneno “wakomavu,” na “wenye hawako wakomavu,” inatumia maneno ingine yenye iko na ileile wazo. Kwa mufano, kitabu ya Mezali, inaonyesha tofauti kati ya mutu mwenye kuwa kijana na bila uzoefu na mutu mwenye kuwa na hekima na uelewaji.—Mez. 1:4, 5.