Maelezo ya Chini
a Sheria ya Mungu yenye kuwa mu Kumbukumbu la Torati 23:3-6 ilisema kama Waamoni na Wamoabu hawakuruhusiwa kuingia mu kutaniko ya Israeli. Lakini inaonekana kama ile sheria ilikuwa inazungumuzia njo kukubaliwa kisheria kuwa Mwisraeli, lakini haikukataza wale watu wa mataifa kujiunga ao kuishi na watu wa Mungu. Ona kitabu Etude Perspicace des Ecritures, Buku ya 1, uku. 100.