Maelezo ya Chini
a Mu hii habari, maneno “wafalme wa Israeli” inamaanisha wafalme wote wenye walitawala watu wa Yehova, ikuwe walitawala mu ufalme wa Yuda wa makabila mbili, ao ufalme wa Israeli wa makabila kumi, ao tena ufalme wa makabila yote kumi na mbili.