Maelezo ya Chini
d Mufalme Asa alifanya zambi nzito za mingi. (2 Ny. 16:7, 10) Lakini, Biblia inasema kama alifanya mambo yenye kuwa sawa mbele ya macho ya Yehova. Hata kama ku mwanzo hakukubali wakati alirekebishwa, inawezekana alifikia kutubu. Inawezekana sifa zake za muzuri zilifikia kuwa za mingi kupita makosa yake. Kwa ujumla Asa alimuabudu Yehova tu na alijikaza kuondoa ibada ya sanamu mu ufalme wake.—1 Fa. 15:11-13; 2 Ny. 14:2-5.