Maelezo ya Chini
a MAFASIRIO YA MANENO FULANI: Mu hii habari tuko nazungumuzia mashaka yenye inafanya tujiulize ikiwa Yehova anatuoa kuwa wa maana, ao ikiwa tulikamata maamuzi yenye hekima. Ile mashaka haiko njo yenye Biblia inasema kama inaweza kuonyesha kuwa mutu hamuamini Yehova na ahadi zake.