Maelezo ya Chini
a Waisraeli wengi wenye waliona miujiza ya Yehova ku Bahari Nyekundu, walikufa mbele ya kuingia mu inchi ya ahadi. (Hes. 14:22, 23) Yehova alisema kama Waisraeli wenye walikuwa na miaka 20 na zaidi, wenye walikuwa wameandikishwa, wangekufa mu jangwa. (Hes. 14:29) Lakini, Yoshua, Kalebu, na Waisraeli wengi wenye walikuwa wangali wadogo na batu mingi ba mu kabila ya Walawi baliendelea kuishi, na baliona namna Yehova alitimiza ahadi yake wakati balivuka Muto Yordani na kuingia mu inchi ya Kanaani.—Kum. 1:24-40.