Maelezo ya Chini
d Sawa vile Ripoti ya 2 ya Baraza Yenye Kuongoza ya 2024 inaonyesha, kama mutu mwenye aliondolewa mu kutaniko anafika ku mikutano, muhubiri anaweza kutumia zamiri yake yenye kuongozwa na Biblia juu ya kuamua kama atamusalimia ao kumukaribisha.