Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb16 Mwezi wa 3 uku. 7
  • Zabihu ya Ukombozi Inafanya Ufufuo Uwezekane

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Zabihu ya Ukombozi Inafanya Ufufuo Uwezekane
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2016
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Tumaini la Kweli juu ya Watu Tuliowapenda Waliokufa
    Biblia Inafundisha Kabisa Nini?
  • Watu wa Familia na Marafiki Wako Wenye Walishakufa Wanaweza Kuishi Tena!
    Furahia Maisha Milele!—Ujifunze Biblia kwa Njia ya Mazungumuzo
  • “Nina Tumaini kwa Mungu”
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2017
  • Ufufuo Ni Tumaini la Kweli!
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2020
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2016
mwb16 Mwezi wa 3 uku. 7

MAISHA YA MUKRISTO

Zabihu ya Ukombozi Inafanya Ufufuo Uwezekane

Watu wa familia na marafiki wanahuzunika sana kwa sababu kijana mwanamuke anakaribia kufa, dada yake anafarijika kwa kufikiri sana juu ya ufufuo unaokuja

Ukumbusho unatutolea nafasi nzuri ya kuwaza sana juu ya baraka za wakati unaokuja, kama vile ufufuo; baraka hizo zitawezekana kupitia zabihu ya ukombozi. Yehova hakuwaumba wanadamu ili wakufe. Hiyo ndiyo sababu kifo cha mupendwa wetu ni kati ya mambo yenye inatuletea huzuni sana. (1Kor 15:26) Yesu alihuzunika kuona wanafunzi wake wakimulia Lazaro. (Yoh 11:33-35) Kwa kuwa Yesu ni mufano kamilifu wa Baba yake, tuko hakika kwamba Yehova anahuzunika pia wakati tunateseka moyoni kwa sababu mupendwa wetu anakufa. (Yoh 14:7) Yehova anangojea kwa hamu siku atawafufua watumishi wake, tunapaswa pia kungojea siku hiyo kwa hamu.—Ayu 14:14, 15.

Kwa sababu Yehova ni Mungu wa utaratibu, tuko na sababu ya kuamini kwamba ufufuo utafanywa kwa utaratibu. (1Kor 14:33, 40) Maziko hayatakuwa tena; pengine watu watakutana ili kuwakaribisha wale watafufuliwa. Je, unafikiri sana juu ya ufufuo, zaidi sana wakati unapoteza mupendwa wako? (2Kor 4:17, 18) Je, unamushukuru Yehova kwa zabihu ya ukombozi na kwa kutuonyesha katika Maandiko kwamba watu wenye wamekufa wataishi tena?—Kol 3:15.

  • Kati ya rafiki zako na watu wa familia yako ni nani unangojea kwa hamu sana kuwaona tena?

  • Ni watu gani wenye kutajwa katika Biblia unangojea kwa hamu kukutana nao na kuzungumuza nao?

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine