Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • B12-A Juma la Mwisho la Maisha ya Yesu Katika Dunia (Sehemu ya 1)
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • B12-A

      Juma la Mwisho la Maisha ya Yesu Katika Dunia (Sehemu ya 1)

      Yerusalemu na Eneo la Pembeni-pembeni

      1. Hekalu

      2. Bustani ya Getsemane (?)

      3. Nyumba ya Gavana

      4. Nyumba ya Kayafa (?)

      5. Nyumba Kwenye Herode Antipa Alikuwa Anafikia (?)

      6. Kiziwa cha Maji cha Betzata

      7. Kiziwa cha Maji cha Siloamu

      8. Jumba la Sanhedrini (?)

      9. Golgota (?)

      10. Akeldama (?)

      Uende ku siku ya: Nisani 8 | Nisani 9 | Nisani 10 | Nisani 11

      Nisani 8 (Sabato)

      KUSHUKA KWA JUA (Siku za Wayahudi zinaanza na kumalizika wakati jua linashuka)

      • Anafika Betania siku sita (6) mbele ya Pasaka

      • Yohana 11:55–12:1

      KUTOKEA KWA JUA

      KUSHUKA KWA JUA

      Rudia ku liste ya masiku yote

      Nisani 9

      KUSHUKA KWA JUA

      • Anakula pamoja na Simoni mwenye ukoma

      • Maria anamupakaa Yesu mafuta ya nardo

      • Wayahudi wanakuja kumuona Yesu na Lazaro

      • Matayo 26:6-13

      • Marko 14:3-9

      • Yohana 12:2-11

      KUTOKEA KWA JUA

      • Anaingia Yerusalemu kwa vigelegele

      • Anafundisha katika hekalu

      • Matayo 21:1-11, 14-17

      • Marko 11:1-11

      • Luka 19:29-44

      • Yohana 12:12-19

      KUSHUKA KWA JUA

      Rudia ku liste ya masiku yote

      Nisani 10

      KUSHUKA KWA JUA

      • Analala Betania

      KUTOKEA KWA JUA

      • Anaenda Yerusalemu asubui sana

      • Anasafisha hekalu

      • Yehova anasema akiwa mbinguni

      • Matayo 21:18, 19; 21:12, 13

      • Marko 11:12-19

      • Luka 19:45-48

      • Yohana 12:20-50

      KUSHUKA KWA JUA

      Rudia ku liste ya masiku yote

      Nisani 11

      KUSHUKA KWA JUA

      KUTOKEA KWA JUA

      • Anafundisha katika hekalu, kwa kutumia mifano

      • Analaumu Wafarisayo

      • Anaangalia muchango wa mujane

      • Akiwa kwenye Mulima wa Mizeituni, anatabiri kuanguka kwa Yerusalemu na anatoa alama ya kuwapo kwake wakati wenye kuja

      • Matayo 21:19–25:46

      • Marko 11:20–13:37

      • Luka 20:1–21:38

      KUSHUKA KWA JUA

      Rudia ku liste ya masiku yote

  • B12-B Juma la Mwisho la Maisha ya Yesu Katika Dunia (Sehemu ya 2)
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • B12-B

      Juma la Mwisho la Maisha ya Yesu Katika Dunia (Sehemu ya 2)

      Yerusalemu na Eneo la Pembeni-pembeni

      1. Hekalu

      2. Bustani ya Getsemane (?)

      3. Nyumba ya Gavana

      4. Nyumba ya Kayafa (?)

      5. Nyumba Kwenye Herode Antipa Alikuwa Anafikia (?)

      6. Kiziwa cha Maji cha Betzata

      7. Kiziwa cha Maji cha Siloamu

      8. Jumba la Sanhedrini (?)

      9. Golgota (?)

      10. Akeldama (?)

      Uende ku siku ya: Nisani 12 | Nisani 13 | Nisani | Nisani 15 | Nisani 16

      Nisani 12

      KUSHUKA KWA JUA (Siku za Wayahudi zinaanza na kumalizika wakati jua linashuka)

      KUTOKEA KWA JUA

      • Anapitisha siku yenye utulivu pamoja na wanafunzi wake

      • Yuda anafanya mupango wa kumusaliti

      • Matayo 26:1-5, 14-16

      • Marko 14:1, 2, 10, 11

      • Luka 22:1-6

      KUSHUKA KWA JUA

      Rudia ku liste ya masiku yote

      Nisani 13

      KUSHUKA KWA JUA

      KUTOKEA KWA JUA

      • Petro na Yohana wanatayarisha Pasaka

      • Yesu na mitume wengine wanafika mangaribi

      • Matayo 26:17-19

      • Marko 14:12-16

      • Luka 22:7-13

      KUSHUKA KWA JUA

      Rudia ku liste ya masiku yote

      Nisani 14

      KUSHUKA KWA JUA

      • Anakula Pasaka pamoja na mitume

      • Ananawisha miguu ya mitume

      • Anamufukuza Yuda

      • Anaanzisha Chakula cha Mangaribi cha Bwana

      • Matayo 26:20-35

      • Marko 14:17-31

      • Luka 22:14-38

      • Yohana 13:1–17:26

      • Anasalitiwa na kukamatwa katika bustani ya Getsemane (2)

      • Mitume wanakimbia

      • Anahukumiwa na Sanhedrini kwenye nyumba ya Kayafa (4)

      • Petro anamukana Yesu

      • Matayo 26:36-75

      • Marko 14:32-72

      • Luka 22:39-65

      • Yohana 18:1-27

      KUTOKEA KWA JUA

      • Anasimama tena mbele ya Sanhedrini (8)

      • Anapelekwa kwa Pilato (3), kisha kwa Herode (5), kisha anarudishwa kwa Pilato (3)

      • Anahukumiwa kifo na anatundikwa kule Golgota (9)

      • Anakufa karibu saa kenda kisha muchana-kati

      • Mwili wake unaondolewa kwenye muti na kuzikwa

      • Matayo 27:1-61

      • Marko 15:1-47

      • Luka 22:66–23:56

      • Yohana 18:28–19:42

      KUSHUKA KWA JUA

      Rudia ku liste ya masiku yote

      Nisani 15 (Sabato)

      KUSHUKA KWA JUA

      KUTOKEA KWA JUA

      • Pilato anakubali walinzi wawekwe kwenye kaburi la Yesu

      • Matayo 27:62-66

      KUSHUKA KWA JUA

      Rudia ku liste ya masiku yote

      Nisani 16

      KUSHUKA KWA JUA

      • Manukato mengine ya ­kutayarisha mwili kwa ajili ya maziko yanauzwa

      • Marko 16:1

      KUTOKEA KWA JUA

      • Anafufuka

      • Anatokea wanafunzi

      • Matayo 28:1-15

      • Marko 16:2-8

      • Luka 24:1-49

      • Yohana 20:1-25

      KUSHUKA KWA JUA

      Rudia ku liste ya masiku yote

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine