-
B12-A Juma la Mwisho la Maisha ya Yesu Katika Dunia (Sehemu ya 1)Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
B12-A
Juma la Mwisho la Maisha ya Yesu Katika Dunia (Sehemu ya 1)
Yerusalemu na Eneo la Pembeni-pembeni
Hekalu
Bustani ya Getsemane (?)
Nyumba ya Gavana
Nyumba ya Kayafa (?)
Nyumba Kwenye Herode Antipa Alikuwa Anafikia (?)
Kiziwa cha Maji cha Betzata
Kiziwa cha Maji cha Siloamu
Jumba la Sanhedrini (?)
Golgota (?)
Akeldama (?)
Uende ku siku ya: Nisani 8 | Nisani 9 | Nisani 10 | Nisani 11
Nisani 8 (Sabato)
KUSHUKA KWA JUA (Siku za Wayahudi zinaanza na kumalizika wakati jua linashuka)
Anafika Betania siku sita (6) mbele ya Pasaka
KUTOKEA KWA JUA
KUSHUKA KWA JUA
Nisani 9
KUSHUKA KWA JUA
Anakula pamoja na Simoni mwenye ukoma
Maria anamupakaa Yesu mafuta ya nardo
Wayahudi wanakuja kumuona Yesu na Lazaro
KUTOKEA KWA JUA
Anaingia Yerusalemu kwa vigelegele
Anafundisha katika hekalu
KUSHUKA KWA JUA
Nisani 10
KUSHUKA KWA JUA
Analala Betania
KUTOKEA KWA JUA
Anaenda Yerusalemu asubui sana
Anasafisha hekalu
Yehova anasema akiwa mbinguni
KUSHUKA KWA JUA
Nisani 11
KUSHUKA KWA JUA
KUTOKEA KWA JUA
Anafundisha katika hekalu, kwa kutumia mifano
Analaumu Wafarisayo
Anaangalia muchango wa mujane
Akiwa kwenye Mulima wa Mizeituni, anatabiri kuanguka kwa Yerusalemu na anatoa alama ya kuwapo kwake wakati wenye kuja
KUSHUKA KWA JUA
-
-
B12-B Juma la Mwisho la Maisha ya Yesu Katika Dunia (Sehemu ya 2)Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
B12-B
Juma la Mwisho la Maisha ya Yesu Katika Dunia (Sehemu ya 2)
Yerusalemu na Eneo la Pembeni-pembeni
Hekalu
Bustani ya Getsemane (?)
Nyumba ya Gavana
Nyumba ya Kayafa (?)
Nyumba Kwenye Herode Antipa Alikuwa Anafikia (?)
Kiziwa cha Maji cha Betzata
Kiziwa cha Maji cha Siloamu
Jumba la Sanhedrini (?)
Golgota (?)
Akeldama (?)
Uende ku siku ya: Nisani 12 | Nisani 13 | Nisani | Nisani 15 | Nisani 16
Nisani 12
KUSHUKA KWA JUA (Siku za Wayahudi zinaanza na kumalizika wakati jua linashuka)
KUTOKEA KWA JUA
Anapitisha siku yenye utulivu pamoja na wanafunzi wake
Yuda anafanya mupango wa kumusaliti
KUSHUKA KWA JUA
Nisani 13
KUSHUKA KWA JUA
KUTOKEA KWA JUA
Petro na Yohana wanatayarisha Pasaka
Yesu na mitume wengine wanafika mangaribi
KUSHUKA KWA JUA
Nisani 14
KUSHUKA KWA JUA
Anakula Pasaka pamoja na mitume
Ananawisha miguu ya mitume
Anamufukuza Yuda
Anaanzisha Chakula cha Mangaribi cha Bwana
Nisani 15 (Sabato)
KUSHUKA KWA JUA
KUTOKEA KWA JUA
Pilato anakubali walinzi wawekwe kwenye kaburi la Yesu
KUSHUKA KWA JUA
Nisani 16
KUTOKEA KWA JUA
Anafufuka
Anatokea wanafunzi
KUSHUKA KWA JUA
-