Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • rr uku. 212
  • 20A Namna Inchi Iligawanywa

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • 20A Namna Inchi Iligawanywa
  • Ibada Safi ya Yehova Inarudishwa Tena!
  • Vichwa Vidogo
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Fasi yenye kuwa salama na mugao wa maana
  • Maeneo yenye kuwa sawasawa
  • “Mutagawanya Inchi Kuwa Uriti”
    Ibada Safi ya Yehova Inarudishwa Tena!
  • “Jina la Muji Huo . . . Litakuwa, Yehova Iko Pale”
    Ibada Safi ya Yehova Inarudishwa Tena!
  • Maneno ya Unabii ya Yakobo Inatufundisha Nini?—Sehemu ya 2
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2025
  • “Kila Kitu Kitaishi Mahali Kwenye Muto Huo Mudogo Unapita”
    Ibada Safi ya Yehova Inarudishwa Tena!
Ona Habari Zaidi
Ibada Safi ya Yehova Inarudishwa Tena!
rr uku. 212
Malaika mwenye kuongoza Ezekieli anamuonyesha maeneo ya uriti ya inchi

KISANDUKU CHA KUFUNDISHIA 20A

Namna Inchi Iligawanywa

Maelezo yenye kuwa wazi kuhusu mipaka ilihakikishia wahamishwa kwamba inchi yao yenye walipenda ingerudishwa lote mu hali ya muzuri. Maono hii inaweza kutufundisha nini leo? Fikiria mambo mbili:

Karte ya maeneo ya makabila 12 na muchango

Fasi yenye kuwa salama na mugao wa maana

Kila mutu kati ya wahamishwa wenye wangerudia angekuwa na uriti mu Inchi ya Ahadi yenye ilirudishwa mu hali ya muzuri. Na leo pia, kila mutumishi wa Yehova iko na fasi yake mu paradiso ya kiroho. Ikuwe tuko na daraka gani mu tengenezo, tukuwe hakika kwamba tuko na fasi yetu yenye kuwa salama na tuko na mugao wa maana mu inchi hii ya kiroho. Ku macho ya Yehova, watumishi wake wote ni wa maana, hakuna mwenye kuwa wa maana sana kuliko mwingine.

Maeneo yenye kuwa sawasawa

Mu maono ya Ezekieli, kila eneo mu Inchi ya Ahadi yenye ilirudishwa mu hali ya muzuri lilitolea wakaaji wake mazao ileile, tena ya mingi sana. Na leo pia, Yehova amepatia watumishi wake wote baraka zilezile za paradiso ya kiroho.

Rudia ku sura ya 20, fungu la 5-11

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine