Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • sjj wimbo 105
  • “Mungu Ni Upendo”

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • “Mungu Ni Upendo”
  • ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Upendo—Sifa ya Maana Sana
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2017
  • Usiache Upendo Wako Upoe
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2017
  • ‘Lazima Umupende Yehova Mungu Wako’
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2014
  • ‘Unamupenda Jirani Yako Kama Wewe Mwenyewe’?
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2015
‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
sjj wimbo 105

WIMBO 105

“Mungu Ni Upendo”

Maandishi

(1 Yohana 4:7, 8)

  1. 1. Vile Mungu ni upendo,

    Na siye tupendane.

    Tukipenda majirani

    Tutawasaidia.

    Kama hatuna upendo

    Tuko watu wa bure.

    Tupendane kama Kristo.

    Upendo haushindwe.

  2. 2. Tupendane kwa matendo,

    Hapana tu maneno.

    Na hata tukikosea

    Tusivunjike moyo.

    Upendo hauna wivu

    Na unavumilia.

    Tupende ndugu na dada

    Ili tubarikiwe.

  3. 3. Upendo wetu ukuwe

    Wa kutoka mu moyo.

    Tutumainie Mungu

    Ili atuongoze.

    Basi tumupende sana,

    Tupende na jirani.

    Hakuna mambo ingine

    zaidi ya upendo.

(Ona pia Mk. 12:30, 31; 1 Ko. 12:31–13:8; 1 Yoh. 3:23.)

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine