WIMBO 128
Vumilia Mupaka Mwisho
Maandishi
1. Maneno yote ya Mungu
Ni ya kweli sana;
Iko natusaidia
Ili tuvumilie.
Basi, usitetemeke,
Ukuwe na imani,
Kumbuka siku ya Mungu,
Na usihangaike.
2. Kila siku endelea
Kumupenda Mungu.
Ukipata majaribu
Uvumilie sana.
Hata kutokee nini,
Hapana kuogopa.
Yehova iko naona,
Hawezi kukuacha.
3. Wenye watavumilia
Wataokolewa,
Wataandikwa katika
Kitabu ya uzima.
Kwa hiyo uvumilie,
Usirudie nyuma.
Mungu atakubariki,
Utafurahi sana.
(Ona pia Ebr. 6:19; Yak. 1:4; 2 Pe. 3:12; Ufu. 2:4.)