WIMBO 123
Tutii Mupango wa Kiteokrasi
Maandishi
1. Tunafanya kazi ya kuhubiri
Ufalme wa Mungu kwa watu wote.
Basi ili tukuwe na umoja
Tutii mipango yote ya Mungu.
(REFREE)
Tunapaswa kumutii Mungu,
Muumbaji wetu.
Anatupenda na kutulinda.
Tusiachane naye.
2. Anatuongoza kwa roho yake
Pia kupitia mutumwa wake.
Basi tumutii mu mambo yote.
Tuhubiri sana, bila kuacha.
(REFREE)
Tunapaswa kumutii Mungu,
Muumbaji wetu.
Anatupenda na kutulinda.
Tusiachane naye.
(Ona pia Lu. 12:42; Ebr. 13:7, 17.)