Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • sjj wimbo 123
  • Tutii Mupango wa Kiteokrasi

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Tutii Mupango wa Kiteokrasi
  • ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
sjj wimbo 123

WIMBO 123

Tutii Mupango wa Kiteokrasi

Maandishi

(1 Wakorinto 14:33)

  1. 1. Tunafanya kazi ya kuhubiri

    Ufalme wa Mungu kwa watu wote.

    Basi ili tukuwe na umoja

    Tutii mipango yote ya Mungu.

    (REFREE)

    Tunapaswa kumutii Mungu,

    Muumbaji wetu.

    Anatupenda na kutulinda.

    Tusiachane naye.

  2. 2. Anatuongoza kwa roho yake

    Pia kupitia mutumwa wake.

    Basi tumutii mu mambo yote.

    Tuhubiri sana, bila kuacha.

    (REFREE)

    Tunapaswa kumutii Mungu,

    Muumbaji wetu.

    Anatupenda na kutulinda.

    Tusiachane naye.

(Ona pia Lu. 12:42; Ebr. 13:7, 17.)

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine