Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • sjj wimbo 39
  • Tujifanyie Jina ya Muzuri Mbele ya Mungu

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Tujifanyie Jina ya Muzuri Mbele ya Mungu
  • ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Sababu Gani Tunapaswa Kulitumia Jina la Mungu?
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2012
  • Jina la Mungu Ni Nani?
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Watu Wote)—2019
  • Jina la Mungu
    Amuka!—2017
  • Tuliheshimu Jina Kubwa la Mungu
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2013
Ona Habari Zaidi
‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
sjj wimbo 39

WIMBO 39

Tujifanyie Jina ya Muzuri Mbele ya Mungu

Maandishi

(Muhubiri 7:1)

  1. 1. Mbele ya Mungu njo tuko napenda

    Kujifanyia jina ya muzuri.

    Kama tunafanya mambo ya muzuri,

    Tutamufanya afurahi.

  2. 2. Na watu wengi wanapenda sana

    Kujulikana na kupewa sifa.

    Kama tunaanza kuwa kama wao,

    Mungu hawezi kutupenda.

  3. 3. Tuko napenda Mungu akumbuke

    Majina yetu mupaka milele.

    Basi tumutii na kumutetea.

    Ndiyo, tulinde jina yetu.

(Ona pia Mwa. 11:4; Mez. 22:1; Mal. 3:16; Ufu. 20:15.)

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine