WIMBO 39
Tujifanyie Jina ya Muzuri Mbele ya Mungu
Maandishi
1. Mbele ya Mungu njo tuko napenda
Kujifanyia jina ya muzuri.
Kama tunafanya mambo ya muzuri,
Tutamufanya afurahi.
2. Na watu wengi wanapenda sana
Kujulikana na kupewa sifa.
Kama tunaanza kuwa kama wao,
Mungu hawezi kutupenda.
3. Tuko napenda Mungu akumbuke
Majina yetu mupaka milele.
Basi tumutii na kumutetea.
Ndiyo, tulinde jina yetu.
(Ona pia Mwa. 11:4; Mez. 22:1; Mal. 3:16; Ufu. 20:15.)