Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • sjj wimbo 111
  • Mambo Yenye Kufanya Tukuwe na Furaha

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Mambo Yenye Kufanya Tukuwe na Furaha
  • ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Napenda Kufanya Mapenzi Yako
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Shangwe—Sifa Yenye Tunapata Kutoka kwa Mungu
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2018
  • Furaha Yetu ya Milele Inatoka kwa Yehova
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
sjj wimbo 111

WIMBO 111

Mambo Yenye Kufanya Tukuwe na Furaha

Maandishi

(Matayo 5:12)

  1. 1. Kwa kweli tuko na furaha

    ya kutumikia Mungu.

    Tena watu wa kila inchi

    Wako najifunza kweli.

    Kujifunza Neno ya Mungu

    Kunatupatia nguvu;

    Na kweli yenye kuwa ndani

    Inaongeza imani.

    Hata wakati wa magumu,

    Hatutavunjika moyo.

    Tutatumainia Mungu

    Na atatusaidia.

    (REFREE)

    Yehova ni shangwe yetu,

    Na tena ni nguvu yetu.

    Mawazo yake na kazi zake

    Ni za ajabu kabisa.

  2. 2. Tukiangalia dunia,

    Mbingu na bahari pia;

    Tunaona kama Yehova

    Ni Muumbaji mukubwa.

    Tunahubiria wengine

    Kuhusu Ufalme wake,

    Wenye utaleta baraka

    Na furaha ku dunia.

    Sasa tuko tunangojea

    Mbingu na dunia mupya.

    Mateso yote itaisha

    Na tutaishi milele.

    (REFREE)

    Yehova ni shangwe yetu,

    Na tena ni nguvu yetu.

    Mawazo yake na kazi zake

    Ni za ajabu kabisa.

(Ona pia Kum. 16:15; Isa. 12:6; Yoh. 15:11.)

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine