Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • sjj wimbo 131
  • “Kile Chenye Mungu Ameunganisha”

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • “Kile Chenye Mungu Ameunganisha”
  • ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Ndoa
    Amuka!—2013
  • Utaishi Milele!
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
sjj wimbo 131

WIMBO 131

“Kile Chenye Mungu Ameunganisha”

Maandishi

(Matayo 19:5, 6)

  1. 1. Muko na furaha,

    Na munaoana;

    Yehova anaona.

    Leo munaapa.

    (REFREE 1)

    Bwana atamupenda

    Sana bibi yake.

    ‘Chenye kuunganishwa,

    Kisitenganishwe.’

  2. 2. Mulishajifunza

    Neno ya Yehova;

    Basi awabariki,

    Mu maisha yenu.

    (REFREE 2)

    Bibi atamupenda

    Sana bwana yake.

    ‘Chenye kuunganishwa,

    Kisitenganishwe.’

(Ona pia Mwa. 2:24; Muh. 4:12; Efe. 5:22-33.)

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine