- Habari za Kufanana na Zile
1 TIMOTEO
HABARI ZENYE KUWA NDANI
1
Salamu (1, 2)
Onyo juu ya walimu wa uongo (3-11)
Paulo alionyeshwa fazili zenye hazistahiliwe (12-16)
Mufalme wa umilele (17)
‘Pigana vita ya muzuri’ (18-20)
2
3
Sifa za kustahili kuwa mwangalizi (1-7)
Sifa za kustahili kuwa mutumishi wa huduma (8-13)
Siri takatifu ya ushikamanifu kwa Mungu (14-16)
4
Onyo juu ya mafundisho ya pepo wachafu (1-5)
Namna ya kuwa mutumishi muzuri wa Kristo (6-10)
Ukuwe muangalifu kuhusu kufundisha kwako (11-16)
5
6
Watumwa waheshimie mabwana wao (1, 2)
Walimu wa uongo na kupenda feza (3-10)
Maagizo kwa ajili ya mutu wa Mungu (11-16)
Kuwa tajiri katika matendo ya muzuri (17-19)
Linda mambo yenye ulipewa (20, 21)