Kitabu Chenye Kimesaidia Watu Sana Katika Historia
Biblia ni kitabu chenye kinatafsiriwa na kugawanywa sana mu dunia. Hekima yenye kuwa ndani imefikia watu mingi zaidi na kuwasaidia kuliko kitabu kingine chochote. Ona hesabu zenye kufuata:
KUTAFSIRIWA NA KUGAWANYWA KWA BIBLIA
96,5 % ya watu mu dunia wanaweza kupata Biblia
Iko mu luga 3 350 (YOTE MUZIMA AO SEHEMU)
5 000 000 000 Hesabu yenye kukadiriwa ya Biblia zenye zimechapishwa, kuliko kitabu kingine chochote katika historia
PATA HABARI ZAIDI
FUNGUA SITE YETU YA JW.ORG. KU ILE SITE UNAWEZA
Kusoma Biblia (inapatikana katika mamia ya luga)
Kuchukua Biblia
Kupata majibu ya maulizo yenye kuhusu Biblia
Kusoma habari zenye kuonyesha namna Biblia imefanya maisha ya watu mingi ikuwe muzuri zaidi
Kuomba funzo la Biblia
MASHAHIDI WA YEHOVA NA BIBLIA
MASHAHIDI WA YEHOVA WANAFANYA KWA BIDII KAZI YA KUTAFSIRI NA YA KUGAWANYA BIBLIA.
Hizi ni tafsiri fulani za Biblia zenye tuligawanya kwa miaka mingi:
The American Standard Version ya 1901
The Bible in Living English, Byington
The Emphatic Diaglott
The King James Version
Revised Standard Version
New Testament ya Tischendorf
TAFSIRI YA ULIMWENGU MUPYA
Iko mu luga zaidi ya 180 (YOTE MUZIMA AO SEHEMU)
MILIONI 227 KOPI ZA TAFSIRI YA ULIMWENGU MUPYA ZENYE ZIMECHAPISHWA TANGU 1950
a Kwa sasa funzo la Biblia ku Enternete linapatikana mu Kiingereza na mu Kireno. Litapatikana pia mu luga zingine.