Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • rr uku. 220
  • 21A “Muchango Wenye Mutatia Pembeni”

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • 21A “Muchango Wenye Mutatia Pembeni”
  • Ibada Safi ya Yehova Inarudishwa Tena!
  • Vichwa Vidogo
  • Habari za Kufanana na Zile
  • A. “Muchango”
  • B. “Muchango Muzima”
  • C. “Eneo la Mukubwa”
  • D. “Muchango Mutakatifu”
  • E. “Eneo Lenye Linabakia”
  • “Jina la Muji Huo . . . Litakuwa, Yehova Iko Pale”
    Ibada Safi ya Yehova Inarudishwa Tena!
  • “Sasa Mwisho Uko Juu Yako”
    Ibada Safi ya Yehova Inarudishwa Tena!
  • “Mutagawanya Inchi Kuwa Uriti”
    Ibada Safi ya Yehova Inarudishwa Tena!
  • Baraka Zenye Waisraeli Wangepata Kisha Kurudishwa Katika Inchi yao
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2017
Ona Habari Zaidi
Ibada Safi ya Yehova Inarudishwa Tena!
rr uku. 220

KISANDUKU CHA KUFUNDISHIA 21A

“Muchango Wenye Mutatia Pembeni”

EZEKIELI 48:8

Tufuate Ezekieli wakati anakaza uangalifu wake juu ya sehemu ya inchi yenye Yehova anatia pembeni. Ile sehemu iko na maeneo tano. Maeneo gani? Na ile maeneo iko na kazi gani?

Maeneo tano ya inchi yenye Yehova alitia pembeni mu maono ya Ezekieli

A. “Muchango”

Ni eneo la guvernema na linaitwa pia “eneo la usimamizi.”

EZE. 48:8

B. “Muchango Muzima”

Unatiwa pembeni kwa ajili ya makuhani, Walawi, na muji. Tena, watu wa makabila yote 12 wanaingia mu ile eneo juu ya kumuabudu Yehova na kutegemeza mupango wa usimamizi.

EZE. 48:20

C. “Eneo la Mukubwa”

“Sehemu hiyo ya udongo itakuwa mali yake katika Israeli.” “Itakuwa ya mukubwa.”

EZE. 45:7, 8; 48:21, 22

D. “Muchango Mutakatifu”

Eneo hii inaitwa pia “sehemu takatifu.” Sehemu ya juu ni “kwa ajili ya Walawi.” Ni “kitu kitakatifu.” Sehemu ya katikati ni “muchango mutakatifu kwa ajili ya makuhani.” Ni “mahali kwa ajili ya nyumba zao na mahali patakatifu kwa ajili ya patakatifu,” ao hekalu.

EZE. 45:1-5; 48:9-14

E. “Eneo Lenye Linabakia”

‘Litakuwa la nyumba yote ya Israeli’ na “litakuwa la matumizi ya kawaida ya muji, kwa ajili ya makao na eneo la malisho.”

EZE. 45:6; 48:15-19

Rudia ku sura ya 21, fungu la 3

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine