Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • w12 15/6 uku. 12-13
  • Wafalme Wanane Wanafunuliwa

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Wafalme Wanane Wanafunuliwa
  • Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2012
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Yehova Ni ‘Mufunuaji wa Siri’
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2012
  • Yehova Anafunua Mambo Ambayo “Lazima Yatendeke Upesi”
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2012
  • Kitabu ya Ufunuo—Iko na Maana Gani kwa Maadui wa Mungu?
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2022
Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2012
w12 15/6 uku. 12-13

Wafalme Wanane Wanafunuliwa

Vitabu vya Biblia vya Danieli na Yohana vinazungumuzia wafalme wanane ao utawala wa wanadamu na namna wafalme hao wangefuatana. Ili kulewa unabii huo, tunapaswa kujua maana ya unabii wa kwanza wa Biblia.

Kwa miaka mingi, Shetani amefanya uzao wake utokeze serikali za kila namna ao falme nyingi. (Lu. 4:5, 6) Lakini, serikali fulani kati ya hizo zimewatesa watu wa Mungu, ni kusema, taifa la Israeli ao Wakristo watiwa-mafuta. Ndiyo maana, maono ya Danieli na Yohana yanataja tu serikali kubwa munane za ulimwengu, hata kama dunia imetawaliwa na serikali nyingi.

[Muchoro/​Picha kwenye ukurasa wa 12, 13]

(Ili kuona maelezo hayo, ona kitabu)

UNABII KATIKA UNABII KATIKA

KITABU CHA DANIELI KITABU CHA UFUNUO

1. Misri

2. Asiria

3. Babiloni

4. Utawala wa Wamede na Waperse

5. Ugiriki

6. Roma

7. Uingereza na Amerikaa

8. Ushirika wa Mataifa

na Umoja wa Mataifab

WATU WA MUNGU

Mwaka wa 2000,

Mbele ya kuzaliwa kwa Yesu

Abrahamu

Mwaka wa 1500

Taifa la Israeli

Mwaka wa 1000

Danieli Mwaka wa 500

Mbele ya kuzaliwa kwa Yesu/

Kisha kuzaliwa kwa Yesu

Yohana

Israeli wa Mungu Mwaka wa 500

Mwaka wa 1000

Mwaka wa 1500

Mwaka wa 2000,

Kisha kuzaliwa kwa Yesu

[Maelezo ya chini]

a Wafalme hao wawili wangetokea katika wakati wa mwisho. Ona ukurasa wa 19.

b Wafalme hao wawili wangetokea katika wakati wa mwisho. Ona ukurasa wa 19.

[Picha]

Sanamu kubwa (Dan. 2:31-45)

Wanyama wane wanaotoka katika bahari (Dan. 7:3-8, 17, 25)

Kondoo-dume na mbuzi-dume (Dan., sura 8)

Munyama-mwitu mwenye vichwa saba (Ufu. 13:1-10, 16-18)

Munyama mwenye pembe mbili anawaambia watu wafanye sanamu ya munyama-mwitu mwenye vichwa saba (Ufu. 13:11-15)

[Picha zimetolewa na]

Photo credits: Misri na Roma: British Museum ilituruhusu kutumia picha hii; Utawala wa Wamede na Waperse: Musée du Louvre, Paris

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine