Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • w13 1/4 uku. 16
  • Maulizo juu ya habari za Biblia yanajibiwa

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Maulizo juu ya habari za Biblia yanajibiwa
  • Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2013
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Ni Kitabu Gani Chenye Kinatusaidia Kumusikiliza Mungu?
    Umusikilize Mungu ili Uishi Milele
  • Ni Tatizo Ndogo Tu la Kukosa Kuelewa?
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Watu Wote)—2017
  • Kwa Nini Ujifunze Kutoka kwa Mungu?
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2011
  • Mambo ya Kufanya juu Ufaidike na Usomaji Wako wa Biblia
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2023
Ona Habari Zaidi
Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2013
w13 1/4 uku. 16

MAULIZO JUU YA HABARI ZA BIBLIA YANAJIBIWA

Je, inawezekana kuelewa Biblia?

[Picha katika ukurasa wa 16]

Biblia ni Neno la Mungu. Ni kama barua inayotoka kwa baba mwenye upendo. (2 Timotheo 3:16) Katika Biblia, Mungu anaeleza namna tunavyoweza kumupendeza, sababu gani anaacha mambo mabaya, na mambo ambayo atawafanyia watu wakati unaokuja. Lakini walimu wa dini wamegeuza mafundisho ya Biblia; na hilo linafanya watu wengi wawaze kwamba hawawezi hata kidogo kuielewa.​—Matendo 20:29, 30.

Yehova Mungu anataka tujue kweli juu yake. Ndiyo sababu ametupatia kitabu ambacho tunaweza kuelewa.​—Soma 1 Timotheo 2:3, 4. 

Namna gani unaweza kuelewa Biblia?

Zaidi ya kutupatia Biblia, Yehova anatutolea musaada ili kuielewa. Alimutuma Yesu ili kutufundisha. (Luka 4:16-21) Yesu aliwasaidia wasikilizaji wake kuelewa Maandiko, alikuwa anataja andiko baada ya lingine.​—Soma Luka 24:27, 32, 45.

Yesu alianzisha kutaniko la Kikristo ili kazi aliyokuwa ameanzisha iendelee. (Mathayo 28:19, 20) Leo, wafuasi wa kweli wa Yesu wanasaidia watu kuelewa yale ambayo Biblia inafundisha juu ya Mungu. Ikiwa unapenda kuelewa Biblia, Mashahidi wa Yehova watafurahi kukusaidia.​—Soma Matendo 8:30, 31.

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine