Kujenga Jumba la Ufalme mu Australie
Namna ya Kuanzisha Mazungumuzo
●○○ KUMUTEMBELEA MUTU MARA YA KWANZA
Ulizo: Ni nini inaweza kutusaidia kupunguza huzuni yetu?
Andiko: 2Ko 1:3, 4
Ulizo la Kuacha: Inakuwa namna gani wakati mutu anakufa?
○●○KUMURUDILIA MUTU MARA YA KWANZA
Ulizo: Inakuwa namna gani wakati mutu anakufa?
Ulizo la Kuacha: Tuko na tumaini gani kwa ajili ya watu wenye wamekufa?
○○● KUMURUDILIA MUTU MARA YA PILI
Ulizo: Tuko na tumaini gani kwa ajili ya watu wenye wamekufa?
Andiko: Mdo 24:15
Ulizo la Kuacha: Ufufuo utakuwa wapi?