-
Yeremia 43:10, 11Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
10 Kisha uwaambie, ‘Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, anasema hivi: “Tazameni, ninamwita Nebukadneza* mfalme wa Babiloni, mtumishi wangu,+ nami nitakiweka kiti chake cha ufalme juu ya mawe haya ambayo nimeyaficha, naye atalitandaza hema lake la kifalme juu yake.+ 11 Naye ataingia na kuipiga nchi ya Misri.+ Yeyote aliyekusudiwa kufa kwa ugonjwa hatari atakufa kwa ugonjwa hatari, na yeyote aliyekusudiwa kwenda utekwani ataenda utekwani, na yeyote aliyekusudiwa kufa kwa upanga atakufa kwa upanga.+
-
-
Ezekieli 32:11Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
11 Kwa maana Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi:
‘Upanga wa mfalme wa Babiloni utakushambulia.+
-