Isaya 47:6 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 6 Nilikuwa na ghadhabu kuwaelekea watu wangu.+ Niliutia unajisi urithi wangu,+Nami nikawatia mkononi mwako.+ Lakini hukuwaonyesha rehema.+ Hata juu ya wazee uliweka nira nzito.+ Yeremia 6:11 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 11 Basi nimejawa na ghadhabu ya Yehova,Nami nimechoka kuizuia ndani yangu.”+ “Imwage juu ya mtoto aliye barabarani,+Juu ya vikundi vya vijana waliokusanyika pamoja. Wote watakamatwa, mwanamume pamoja na mke wake,Wazee pamoja na waliozeeka sana.*+ Maombolezo 4:16 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 16 Uso wa Yehova umewatawanya;+Hatawaonyesha tena kibali chake. Watu hawatawaheshimu makuhani,+ hawatawatendea wazee kwa fadhili.”+
6 Nilikuwa na ghadhabu kuwaelekea watu wangu.+ Niliutia unajisi urithi wangu,+Nami nikawatia mkononi mwako.+ Lakini hukuwaonyesha rehema.+ Hata juu ya wazee uliweka nira nzito.+
11 Basi nimejawa na ghadhabu ya Yehova,Nami nimechoka kuizuia ndani yangu.”+ “Imwage juu ya mtoto aliye barabarani,+Juu ya vikundi vya vijana waliokusanyika pamoja. Wote watakamatwa, mwanamume pamoja na mke wake,Wazee pamoja na waliozeeka sana.*+
16 Uso wa Yehova umewatawanya;+Hatawaonyesha tena kibali chake. Watu hawatawaheshimu makuhani,+ hawatawatendea wazee kwa fadhili.”+