Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 62
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Isaya—Yaliyomo

      • Jina jipya la Sayuni (1-12)

Isaya 62:1

Marejeo

  • +Zb 102:13; Zek 2:12
  • +Isa 1:26
  • +Isa 51:5

Isaya 62:2

Marejeo

  • +Isa 54:1; 60:1
  • +Isa 49:23; 60:11
  • +Yer 33:16

Isaya 62:4

Marejeo

  • +Isa 49:14; 54:6
  • +Isa 32:14
  • +Zb 149:4; Sef 3:17

Isaya 62:5

Marejeo

  • +Isa 65:18, 19; Yer 32:41

Isaya 62:7

Marejeo

  • +Isa 61:11; Yer 33:9; Sef 3:19, 20

Isaya 62:8

Marejeo

  • +Kum 28:49-51; Yer 5:17

Isaya 62:9

Marejeo

  • +Kum 14:23; Isa 65:21, 22

Isaya 62:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “nguzo ya ishara.”

Marejeo

  • +Isa 40:3; 48:20
  • +Isa 57:14
  • +Ezr 1:1, 3; Isa 11:12; 49:22

Isaya 62:11

Marejeo

  • +Zek 9:9; Mt 21:5; Yoh 12:15
  • +Isa 40:9, 10; Ufu 22:12

Isaya 62:12

Marejeo

  • +Zb 107:2, 3
  • +Isa 54:7

Jumla

Isa. 62:1Zb 102:13; Zek 2:12
Isa. 62:1Isa 1:26
Isa. 62:1Isa 51:5
Isa. 62:2Isa 54:1; 60:1
Isa. 62:2Isa 49:23; 60:11
Isa. 62:2Yer 33:16
Isa. 62:4Isa 49:14; 54:6
Isa. 62:4Isa 32:14
Isa. 62:4Zb 149:4; Sef 3:17
Isa. 62:5Isa 65:18, 19; Yer 32:41
Isa. 62:7Isa 61:11; Yer 33:9; Sef 3:19, 20
Isa. 62:8Kum 28:49-51; Yer 5:17
Isa. 62:9Kum 14:23; Isa 65:21, 22
Isa. 62:10Isa 40:3; 48:20
Isa. 62:10Isa 57:14
Isa. 62:10Ezr 1:1, 3; Isa 11:12; 49:22
Isa. 62:11Zek 9:9; Mt 21:5; Yoh 12:15
Isa. 62:11Isa 40:9, 10; Ufu 22:12
Isa. 62:12Zb 107:2, 3
Isa. 62:12Isa 54:7
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Isaya 62:1-12

Isaya

62 Sitanyamaza kwa ajili ya Sayuni,+

Nami sitatulia kwa ajili ya Yerusalemu

Mpaka uadilifu wake ung’ae kama mwangaza mkali+

Na wokovu wake uwake kama mwenge.+

 2 “Mataifa yatauona uadilifu wako, ewe mwanamke,+

Na wafalme wote utukufu wako.+

Nawe utaitwa kwa jina jipya,+

Ambalo kinywa cha Yehova mwenyewe kitalichagua.

 3 Utakuwa taji la urembo mkononi mwa Yehova,

Kilemba cha kifalme mkononi mwa Mungu wako.

 4 Hutaitwa tena mwanamke aliyeachwa,+

Na nchi yako haitaitwa tena ukiwa.+

Lakini utaitwa Furaha Yangu Imo Ndani Yake,+

Na nchi yako itaitwa Aliyeolewa.

Kwa maana Yehova atafurahishwa nawe,

Na nchi yako itakuwa kama aliyeolewa.

 5 Kwa maana kama kijana wa kiume anavyomwoa msichana bikira,

Ndivyo wana wako watakavyokuoa.

Kama bwana harusi anavyomfurahia bibi harusi

Ndivyo Mungu wako atakavyokufurahia.+

 6 Nimeweka walinzi juu ya kuta zako, Ee Yerusalemu.

Hawapaswi kukaa kimya daima, mchana kutwa na usiku kucha.

Ninyi mnaomtaja Yehova,

Msipumzike,

 7 Na msiache kamwe apumzike mpaka aliimarishe kabisa Yerusalemu,

Naam, mpaka alifanye kuwa sifa ya dunia.”+

 8 Yehova ameapa kiapo kwa mkono wake wa kuume, kwa mkono wake wenye nguvu:

“Sitawapa tena maadui wako nafaka yako iwe chakula chao,

Wala wageni hawatakunywa divai yako mpya, ambayo umetaabika kuipata.+

 9 Lakini wale wanaoikusanya wataila nao watamsifu Yehova;

Na wale wanaoikusanya watainywa katika nyua zangu takatifu.”+

10 Piteni humo, piteni katika malango.

Watayarishieni watu njia.+

Tengenezeni, tengenezeni barabara kuu.

Ondoeni mawe juu yake.+

Inueni ishara* kwa ajili ya watu.+

11 Tazama! Yehova ametangaza mpaka kwenye miisho ya dunia:

“Mwambieni binti ya Sayuni,

‘Tazama! Wokovu wako unakuja.+

Tazama! Anakuja na thawabu yake,

Na malipo anayotoa yako mbele zake.’”+

12 Wataitwa watu watakatifu, wale waliokombolewa na Yehova,+

Nawe utaitwa Aliyetafutwa, Jiji Ambalo Halikuachwa.+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki