Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 10
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Isaya—Yaliyomo

      • Mkono wa Mungu dhidi ya Israeli (1-4)

      • Ashuru⁠—​Fimbo ya hasira ya Mungu (5-11)

      • Ashuru kuadhibiwa (12-19)

      • Watu waliobaki wa Yakobo watarudi (20-27)

      • Mungu atahukumu Ashuru (28-34)

Isaya 10:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “masharti yanayodhuru.”

Marejeo

  • +Law 19:15; Kum 1:16, 17

Isaya 10:2

Marejeo

  • +Amo 2:7, 8
  • +Kum 27:19; Yak 1:27

Isaya 10:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “kuwajibishwa.”

  • *

    Au “utukufu.”

Marejeo

  • +Ho. 9:7
  • +Kum 28:49, 50
  • +Ho. 5:13

Isaya 10:4

Marejeo

  • +Isa 5:25; 9:12

Isaya 10:5

Marejeo

  • +Mwa 10:9, 11
  • +2Fa 17:3; Isa 8:3, 4; 10:24

Isaya 10:6

Marejeo

  • +2Fa 17:6
  • +Kum 28:45, 63; 2Fa 17:22, 23

Isaya 10:8

Marejeo

  • +2Fa 18:19, 24

Isaya 10:9

Marejeo

  • +Amo 6:2
  • +2Nya 35:20
  • +2Fa 17:24
  • +2Fa 19:11, 13
  • +2Fa 17:5; 18:9, 10
  • +2Fa 16:8, 9

Isaya 10:10

Marejeo

  • +2Fa 19:17, 18

Isaya 10:11

Marejeo

  • +2Fa 18:33, 34; 2Nya 32:16, 19

Isaya 10:12

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “nitamwadhibu.”

Marejeo

  • +2Fa 18:19, 28, 35

Isaya 10:13

Marejeo

  • +2Fa 15:29; 17:6; 18:11; 1Nya 5:26
  • +2Fa 16:8; 18:16
  • +2Fa 18:19, 25

Isaya 10:15

Marejeo

  • +Isa 10:5

Isaya 10:16

Marejeo

  • +2Nya 32:21
  • +Isa 30:30, 31

Isaya 10:17

Marejeo

  • +Zb 84:11
  • +Isa 9:5; 30:27; 31:8, 9; Nah 1:6

Isaya 10:18

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Kuanzia kwenye nafsi hadi kwenye mwili ataondoa.”

Marejeo

  • +Isa 37:36

Isaya 10:20

Marejeo

  • +2Nya 28:20, 21; Ho. 5:13; 14:3

Isaya 10:21

Marejeo

  • +Isa 65:9; Ho. 1:10, 11

Isaya 10:22

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “adhabu.”

Marejeo

  • +Isa 1:9
  • +Isa 28:22
  • +Ro 9:27, 28

Isaya 10:23

Marejeo

  • +Kum 28:45, 63

Isaya 10:24

Marejeo

  • +2Fa 18:13; Isa 10:5
  • +Kut 14:3, 9

Isaya 10:25

Marejeo

  • +2Fa 19:35

Isaya 10:26

Marejeo

  • +2Nya 32:21; Isa 30:32; Nah 3:7
  • +Amu 7:25; 8:21; Zb 83:11
  • +Kut 14:21, 27

Isaya 10:27

Marejeo

  • +Isa 9:4; Nah 1:13
  • +Isa 14:25
  • +2Fa 19:35; Isa 37:35, 36

Isaya 10:28

Marejeo

  • +Yos 7:2
  • +1Sa 13:2; 14:31

Isaya 10:29

Marejeo

  • +Yos 21:8, 17; 2Nya 16:6
  • +Amu 20:13
  • +Ho. 5:8

Isaya 10:30

Marejeo

  • +Yos 21:8, 18; Yer 1:1

Isaya 10:32

Marejeo

  • +1Sa 22:18, 19

Isaya 10:33

Marejeo

  • +2Nya 32:21; Isa 37:36

Isaya 10:34

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “shoka.”

Jumla

Isa. 10:1Law 19:15; Kum 1:16, 17
Isa. 10:2Amo 2:7, 8
Isa. 10:2Kum 27:19; Yak 1:27
Isa. 10:3Ho. 9:7
Isa. 10:3Kum 28:49, 50
Isa. 10:3Ho. 5:13
Isa. 10:4Isa 5:25; 9:12
Isa. 10:5Mwa 10:9, 11
Isa. 10:52Fa 17:3; Isa 8:3, 4; 10:24
Isa. 10:62Fa 17:6
Isa. 10:6Kum 28:45, 63; 2Fa 17:22, 23
Isa. 10:82Fa 18:19, 24
Isa. 10:9Amo 6:2
Isa. 10:92Nya 35:20
Isa. 10:92Fa 17:24
Isa. 10:92Fa 19:11, 13
Isa. 10:92Fa 17:5; 18:9, 10
Isa. 10:92Fa 16:8, 9
Isa. 10:102Fa 19:17, 18
Isa. 10:112Fa 18:33, 34; 2Nya 32:16, 19
Isa. 10:122Fa 18:19, 28, 35
Isa. 10:132Fa 15:29; 17:6; 18:11; 1Nya 5:26
Isa. 10:132Fa 16:8; 18:16
Isa. 10:132Fa 18:19, 25
Isa. 10:15Isa 10:5
Isa. 10:162Nya 32:21
Isa. 10:16Isa 30:30, 31
Isa. 10:17Zb 84:11
Isa. 10:17Isa 9:5; 30:27; 31:8, 9; Nah 1:6
Isa. 10:18Isa 37:36
Isa. 10:202Nya 28:20, 21; Ho. 5:13; 14:3
Isa. 10:21Isa 65:9; Ho. 1:10, 11
Isa. 10:22Isa 1:9
Isa. 10:22Isa 28:22
Isa. 10:22Ro 9:27, 28
Isa. 10:23Kum 28:45, 63
Isa. 10:242Fa 18:13; Isa 10:5
Isa. 10:24Kut 14:3, 9
Isa. 10:252Fa 19:35
Isa. 10:262Nya 32:21; Isa 30:32; Nah 3:7
Isa. 10:26Amu 7:25; 8:21; Zb 83:11
Isa. 10:26Kut 14:21, 27
Isa. 10:27Isa 9:4; Nah 1:13
Isa. 10:27Isa 14:25
Isa. 10:272Fa 19:35; Isa 37:35, 36
Isa. 10:28Yos 7:2
Isa. 10:281Sa 13:2; 14:31
Isa. 10:29Yos 21:8, 17; 2Nya 16:6
Isa. 10:29Amu 20:13
Isa. 10:29Ho. 5:8
Isa. 10:30Yos 21:8, 18; Yer 1:1
Isa. 10:321Sa 22:18, 19
Isa. 10:332Nya 32:21; Isa 37:36
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • 34
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Isaya 10:1-34

Isaya

10 Ole wao wanaotunga sheria zinazodhuru,*+

Ambao sikuzote huandika amri zinazokandamiza,

 2 Ili kuwanyima maskini haki zao za kisheria,

Ili kuwanyang’anya haki watu wa hali ya chini kati ya watu wangu,+

Kuwafanya wajane kuwa nyara yao

Na kuwapora mayatima!+

 3 Mtafanya nini katika siku ya kuadhibiwa,*+

Uharibifu utakapokuja kutoka mbali?+

Mtamkimbilia nani ili kupata msaada+

Nanyi mtauacha wapi utajiri* wenu?

 4 Hakuna kinachobaki isipokuwa kujikunyata kati ya wafungwa

Au kuanguka kati ya waliouawa.

Kwa sababu ya hayo yote, hasira yake haijapoa,

Lakini mkono wake bado umenyooshwa ili kupiga.+

 5 “Aha! Mwashuru,+

Fimbo ya kuonyesha hasira yangu,+

Na gongo lililo mkononi mwao kwa ajili ya shutuma yangu!

 6 Nitamtuma yeye dhidi ya taifa lililoasi imani,+

Dhidi ya watu walionikasirisha,

Nitamwamuru achukue nyara nyingi na kupora mali nyingi

Na kuzikanyaga kama matope barabarani.+

 7 Lakini hatataka kufanya hivyo

Na moyo wake hautapanga hila kwa njia hiyo;

Kwa maana moyo wake umeazimia kuangamiza

Kuangamiza kabisa mataifa mengi, si machache.

 8 Kwa maana anasema,

‘Je, wakuu wangu wote si wafalme?+

 9 Je, Kalno+ si kama tu Karkemishi?+

Je, Hamathi+ si kama Arpadi?+

Je, Samaria+ si kama Damasko?+

10 Mkono wangu umeziteka falme za miungu ya ubatili,

Ambazo sanamu zao za kuchongwa zilikuwa nyingi kuliko zile za Yerusalemu na Samaria!+

11 Je, sitaitendea pia Yerusalemu na sanamu zake

Kama vile nilivyoitendea Samaria na miungu yake ya ubatili?’+

12 “Yehova atakapomaliza kazi yake yote kwenye Mlima Sayuni na Yerusalemu, atamwadhibu* mfalme wa Ashuru kwa sababu ya moyo wake wenye dharau na macho yake yanayotazama kwa kiburi na majivuno.+ 13 Kwa maana anasema,

‘Nitafanya hivyo kwa nguvu za mkono wangu

Na kwa hekima yangu, kwa maana nina hekima.

Nitaiondoa mipaka ya mataifa+

Na kupora hazina zao,+

Nami nitawatiisha wakaaji kama mwenye nguvu.+

14 Kama mtu anayeingiza mkono katika kiota,

Mkono wangu utateka mali za mataifa;

Na kama mtu anayekusanya mayai yaliyoachwa,

Nitaikusanya dunia nzima!

Hakuna atakayepiga mabawa yake au kufungua kinywa chake wala kunong’oneza.’”

15 Je, shoka litajikweza juu ya yule anayelitumia kukata?

Je, msumeno utajikweza juu ya yule anayeutumia kukata?

Je, gongo+ linaweza kumtikisa yule anayeliinua?

Au je, fimbo inaweza kumwinua yule ambaye hajatengenezwa kwa mbao?

16 Kwa hiyo Bwana wa kweli, Yehova wa majeshi,

Atawafanya watu wake walionenepa wakonde,+

Na chini ya utukufu wake atawasha moto mkubwa unaoteketeza.+

17 Nuru+ ya Israeli itakuwa moto,+

Na Mtakatifu wake mwali wa moto;

Utawaka na kuteketeza magugu yake na vichaka vyake vya miiba kwa siku moja.

18 Ataondoa kabisa* utukufu wa msitu wake na shamba lake la matunda;

Itakuwa kama mtu mgonjwa anavyodhoofika.+

19 Miti itakayobaki katika msitu wake

Itakuwa michache sana hivi kwamba mvulana ataweza kuihesabu.

20 Siku hiyo watu wa Israeli waliobaki

Na waliookoka wa nyumba ya Yakobo

Hawatamtegemea tena yule aliyewapiga;+

Bali watamtegemea Yehova,

Mtakatifu wa Israeli, kwa uaminifu.

21 Ni watu wachache tu waliobaki watakaorudi,

Watu wa Yakobo waliobaki, watarudi kwa Mungu Mwenye Nguvu.+

22 Kwa maana ingawa watu wako, ewe Israeli,

Ni kama chembe za mchanga wa bahari,

Ni watu wachache tu waliobaki watakaorudi.+

Maangamizi yameamuliwa,+

Na haki* itawafunika.+

23 Naam, maangamizi yaliyoamuliwa na Bwana Mwenye Enzi Kuu, Yehova wa majeshi,

Yatatekelezwa katika nchi yote.+

24 Kwa hiyo Bwana Mwenye Enzi Kuu, Yehova wa majeshi, anasema: “Msiogope, watu wangu mnaokaa Sayuni, kwa sababu ya Mwashuru, aliyekuwa akiwapiga kwa fimbo+ na kuinua gongo lake dhidi yenu kama Misri ilivyofanya.+ 25 Kwa maana kwa muda mfupi sana shutuma itafika mwisho; hasira yangu itaelekezwa kwenye maangamizi yao.+ 26 Yehova wa majeshi atatikisa mjeledi dhidi yake,+ kama aliposhinda Midiani kando ya mwamba wa Orebu.+ Na gongo lake litakuwa juu ya bahari, naye ataliinua kama alivyoitendea Misri.+

27 “Siku hiyo mzigo wake utaondoka juu ya bega lako,+

Na nira yake itaondoka kwenye shingo yako,+

Na nira itavunjwa+ kwa sababu ya mafuta.”

28 Amekuja Aiathi;+

Amepitia Migroni;

Ameweka mizigo yake huko Mikmashi.+

29 Wamevuka kivuko;

Wamekaa Geba usiku kucha;+

Rama inatetemeka, Gibea+ ya Sauli imekimbia.+

30 Paza sauti yako na upige mayowe, Ee binti ya Galimu!

Sikiliza, Ee Laisha!

Ewe maskini Anathothi!+

31 Madmena amekimbia.

Wakaaji wa Gebimu wametafuta mahali pa kujificha.

32 Leo hiihii atasimama Nobu.+

Anautikisia ngumi mlima wa binti ya Sayuni,

Kilima cha Yerusalemu.

33 Tazama! Bwana wa kweli, Yehova wa majeshi,

Anakata matawi kwa kishindo kikubwa sana;+

Miti mirefu zaidi inakatwa,

Na walio juu wanashushwa.

34 Anapiga vichaka vya msitu kwa kifaa cha chuma,*

Na Lebanoni utaangushwa na mwenye nguvu.

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki