Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 44
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Isaya—Yaliyomo

      • Baraka kwa watu waliochaguliwa na Mungu (1-5)

      • Hakuna Mungu ila Yehova (6-8)

      • Upumbavu wa sanamu zilizotengenezwa na wanadamu (9-20)

      • Yehova, Mkombozi wa Israeli (21-23)

      • Ukombozi kupitia Koreshi (24-28)

Isaya 44:1

Marejeo

  • +Mwa 17:1, 7; 35:10, 11; Isa 41:8

Isaya 44:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “tangu ulipozaliwa.”

  • *

    Maana yake “Mnyoofu,” jina la heshima la Israeli.

Marejeo

  • +Isa 43:1; 44:21
  • +Isa 41:10; Yer 30:10
  • +Kum 32:15; 33:5, 26

Isaya 44:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “nitaimiminia maji nchi yenye kiu.”

  • *

    Tnn., “mbegu yako.”

Marejeo

  • +Isa 41:17
  • +Isa 32:14, 15

Isaya 44:4

Marejeo

  • +Isa 61:11

Isaya 44:5

Marejeo

  • +Zek 13:9

Isaya 44:6

Marejeo

  • +Kum 33:5; Isa 33:22
  • +Kut 6:6; Yer 50:34
  • +Isa 41:4; 48:12; Ufu 22:13
  • +Kum 4:35, 39; Isa 43:10

Isaya 44:7

Marejeo

  • +Isa 46:9
  • +Isa 43:9; 45:21

Isaya 44:8

Marejeo

  • +Isa 41:10
  • +Isa 43:10
  • +Kum 32:4; 2Sa 22:32

Isaya 44:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Yaani, sanamu.

Marejeo

  • +Amu 10:14; 1Fa 18:26; 1Ko 8:4
  • +Zb 115:4, 5
  • +Yer 51:17

Isaya 44:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “sanamu ya kuyeyushwa.”

Marejeo

  • +Yer 10:5; Mdo 19:26

Isaya 44:11

Marejeo

  • +1Sa 5:3, 7

Isaya 44:12

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “tezo yake.”

Marejeo

  • +Isa 40:19; 41:7; 46:6

Isaya 44:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “madhabahu.”

Marejeo

  • +Kut 20:4; Kum 4:15, 16; Mdo 17:29
  • +Kum 27:15

Isaya 44:14

Marejeo

  • +Isa 40:20; Yer 10:3

Isaya 44:15

Marejeo

  • +Kut 20:4, 5; Law 26:1; Hab 2:18, 19

Isaya 44:17

Marejeo

  • +Isa 37:37, 38; 45:20; 46:7

Isaya 44:18

Marejeo

  • +Yer 10:8, 14; Ro 1:21-23

Isaya 44:19

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “ubao uliokauka.”

Marejeo

  • +Kum 27:15

Isaya 44:20

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “kuiokoa nafsi yake.”

Isaya 44:21

Marejeo

  • +Isa 43:1; 44:1
  • +Isa 49:15

Isaya 44:22

Marejeo

  • +Zb 51:1; 103:12; Isa 1:18; 43:25; Yer 33:8; Mdo 3:19
  • +Isa 1:27; 48:20; 59:20

Isaya 44:23

Marejeo

  • +Isa 49:13; 55:12
  • +Isa 60:21

Isaya 44:24

Marejeo

  • +Isa 44:6
  • +Ayu 26:7; Isa 40:22
  • +Isa 42:5; 48:13

Isaya 44:25

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “manabii wa uwongo.”

Marejeo

  • +Ho. 9:7
  • +2Sa 15:31; Isa 29:14

Isaya 44:26

Marejeo

  • +Yos 23:14; Isa 55:10, 11; Zek 1:6
  • +Zb 147:2
  • +Isa 60:10
  • +Isa 61:4

Isaya 44:27

Marejeo

  • +Isa 42:15; Yer 50:38; Ufu 16:12

Isaya 44:28

Marejeo

  • +Ezr 1:1, 2; Isa 41:25; 45:1; 46:11; Da 10:1
  • +Isa 48:14
  • +2Nya 36:22, 23; Ezr 6:3; Isa 45:13

Jumla

Isa. 44:1Mwa 17:1, 7; 35:10, 11; Isa 41:8
Isa. 44:2Isa 43:1; 44:21
Isa. 44:2Isa 41:10; Yer 30:10
Isa. 44:2Kum 32:15; 33:5, 26
Isa. 44:3Isa 41:17
Isa. 44:3Isa 32:14, 15
Isa. 44:4Isa 61:11
Isa. 44:5Zek 13:9
Isa. 44:6Kum 33:5; Isa 33:22
Isa. 44:6Kut 6:6; Yer 50:34
Isa. 44:6Isa 41:4; 48:12; Ufu 22:13
Isa. 44:6Kum 4:35, 39; Isa 43:10
Isa. 44:7Isa 46:9
Isa. 44:7Isa 43:9; 45:21
Isa. 44:8Isa 41:10
Isa. 44:8Isa 43:10
Isa. 44:8Kum 32:4; 2Sa 22:32
Isa. 44:9Amu 10:14; 1Fa 18:26; 1Ko 8:4
Isa. 44:9Zb 115:4, 5
Isa. 44:9Yer 51:17
Isa. 44:10Yer 10:5; Mdo 19:26
Isa. 44:111Sa 5:3, 7
Isa. 44:12Isa 40:19; 41:7; 46:6
Isa. 44:13Kut 20:4; Kum 4:15, 16; Mdo 17:29
Isa. 44:13Kum 27:15
Isa. 44:14Isa 40:20; Yer 10:3
Isa. 44:15Kut 20:4, 5; Law 26:1; Hab 2:18, 19
Isa. 44:17Isa 37:37, 38; 45:20; 46:7
Isa. 44:18Yer 10:8, 14; Ro 1:21-23
Isa. 44:19Kum 27:15
Isa. 44:21Isa 43:1; 44:1
Isa. 44:21Isa 49:15
Isa. 44:22Zb 51:1; 103:12; Isa 1:18; 43:25; Yer 33:8; Mdo 3:19
Isa. 44:22Isa 1:27; 48:20; 59:20
Isa. 44:23Isa 49:13; 55:12
Isa. 44:23Isa 60:21
Isa. 44:24Isa 44:6
Isa. 44:24Ayu 26:7; Isa 40:22
Isa. 44:24Isa 42:5; 48:13
Isa. 44:25Ho. 9:7
Isa. 44:252Sa 15:31; Isa 29:14
Isa. 44:26Yos 23:14; Isa 55:10, 11; Zek 1:6
Isa. 44:26Zb 147:2
Isa. 44:26Isa 60:10
Isa. 44:26Isa 61:4
Isa. 44:27Isa 42:15; Yer 50:38; Ufu 16:12
Isa. 44:28Ezr 1:1, 2; Isa 41:25; 45:1; 46:11; Da 10:1
Isa. 44:28Isa 48:14
Isa. 44:282Nya 36:22, 23; Ezr 6:3; Isa 45:13
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Isaya 44:1-28

Isaya

44 “Sasa sikiliza, Ee Yakobo mtumishi wangu,

Nawe, Ee Israeli, ambaye nimekuchagua.+

 2 Hivi ndivyo anavyosema Yehova,

Muumba wako, Yule aliyekutokeza,+

Ambaye amekusaidia tangu ulipokuwa tumboni:*

‘Usiogope, mtumishi wangu Yakobo,+

Na wewe, Yeshuruni,*+ ambaye nimekuchagua.

 3 Kwa maana nitammiminia maji mwenye kiu*+

Na kumimina vijito vinavyotiririka kwenye ardhi iliyokauka.

Nitaimimina roho yangu juu ya uzao wako*+

Na baraka yangu juu ya wazao wako.

 4 Nao watachipuka kama majani mabichi,+

Kama mierebi kando ya vijito vya maji.

 5 Mtu mmoja atasema: “Mimi ni mali ya Yehova.”+

Mwingine atajiita kwa jina la Yakobo,

Na mwingine ataandika kwenye mkono wake: “Mali ya Yehova.”

Naye atalichukua jina la Israeli.’

 6 Yehova, Mfalme wa Israeli+ na Mkombozi wake,+

Yehova wa majeshi, anasema hivi:

‘Mimi ndiye wa kwanza na mimi ndiye wa mwisho.+

Hakuna Mungu ila mimi.+

 7 Ni nani aliye kama mimi?+

Na aseme kwa sauti, atangaze, na kunithibitishia!+

Tangu nilipowatokeza watu wa zamani za kale,

Na waseme mambo yatakayokuja

Na yale yatakayotokea.

 8 Msiogope,

Wala msilemazwe na woga.+

Je, sikumwambia kila mmoja wenu mapema na kutangaza jambo hilo?

Ninyi ni mashahidi wangu.+

Je, kuna Mungu zaidi yangu?

Hapana, hakuna Mwamba mwingine;+ simjui mwingine.’”

 9 Wale wote wanaotengeneza sanamu za kuchongwa hawana thamani yoyote,

Na vitu wanavyovipenda sana havitakuwa na faida yoyote.+

Vikiwa kama mashahidi wao, havioni* chochote wala havijui chochote,+

Basi waliovitengeneza vitu hivyo wataaibishwa.+

10 Ni nani anayeweza kutengeneza mungu au sanamu ya chuma*

Ambayo haina faida yoyote?+

11 Tazameni! Wenzake wote wataaibishwa!+

Mafundi ni wanadamu tu.

Wote na wakusanyike na kusimama.

Watashikwa na hofu na kuaibishwa pamoja.

12 Mhunzi hutengeneza sanamu ya chuma kwenye makaa kwa kifaa chake.*

Anaiunda kwa nyundo,

Anaitengeneza kwa mkono wake wenye nguvu.+

Kisha anahisi njaa na kuishiwa na nguvu;

Hanywi maji na anachoka.

13 Mchongaji wa mbao huinyoosha kamba ya kupimia, huchora umbo akitumia chokaa nyekundu.

Huchonga sanamu kwa patasi na kuchora kwa bikari.

Anaichonga kwa umbo la mwanadamu,+

Kwa uzuri wa mwanadamu,

Ili ikae katika nyumba.*+

14 Kuna mtu ambaye kazi yake ni kukata mierezi.

Huchagua mti wa aina fulani, mwaloni,

Naye huuacha uwe imara kati ya miti ya msituni.+

Hupanda mlaurusi, na mvua huufanya ukue.

15 Kisha unakuwa kuni zinazotumiwa na mwanadamu kuwasha moto.

Huchukua baadhi yake ili aote moto;

Huwasha moto na kuoka mkate.

Lakini pia hutengeneza mungu na kumwabudu.

Huutengeneza kuwa sanamu ya kuchongwa, na kuiinamia.+

16 Nusu yake huiteketeza motoni;

Kwa nusu hiyo huchoma nyama anayokula, naye hushiba.

Pia huota moto na kusema:

“Aha! Ninahisi joto ninapotazama moto.”

17 Lakini sehemu inayobaki anaifanya kuwa mungu, kuwa sanamu yake ya kuchongwa.

Anaiinamia na kuiabudu.

Anasali kwake na kusema:

“Niokoe, kwa maana wewe ni mungu wangu.”+

18 Hawajui chochote, hawaelewi chochote,+

Kwa sababu macho yao yamefungwa kabisa na hayawezi kuona,

Na moyo wao hauna ufahamu.

19 Hakuna mtu anayetafakari moyoni mwake

Wala aliye na ujuzi na uelewaji, anayesema:

“Nusu yake niliiteketeza motoni,

Nami nimeoka mkate juu ya makaa yake na kuchoma nyama ya kula.

Basi, je, ninapaswa kutumia sehemu inayobaki kutengeneza kitu kinachochukiza?+

Je, ninapaswa kuabudu kipande cha mbao?”*

20 Anakula majivu.

Moyo wake mwenyewe uliodanganyika umempotosha.

Hawezi kujiokoa,* wala hasemi:

“Je, hamna uwongo katika mkono wangu wa kulia?”

21 “Kumbuka mambo haya, Ee Yakobo, na wewe, Ee Israeli,

Kwa maana wewe ni mtumishi wangu.

Nilikutokeza, nawe ni mtumishi wangu.+

Ee Israeli, sitakusahau.+

22 Nitayafuta kabisa makosa yako kama kwa wingu+

Na dhambi zako kama kwa wingu zito.

Rudi kwangu, kwa maana nitakukomboa.+

23 Pigeni vigelegele kwa shangwe, enyi mbingu,

Kwa maana Yehova ametenda!

Pazeni sauti kwa ushindi, enyi sehemu zenye kina za dunia!

Pazeni sauti kwa shangwe, enyi milima,+

Ewe msitu, na miti yako yote!

Kwa maana Yehova amemkomboa Yakobo,

Na juu ya Israeli anaonyesha fahari yake.”+

24 Yehova, Mkombozi wako,+

Aliyekuumba tangu ulipokuwa tumboni, anasema hivi:

“Mimi ni Yehova, niliyeumba kila kitu.

Nilizitandaza mbingu mimi mwenyewe,+

Na kuitandaza dunia.+

Ni nani aliyekuwa pamoja nami?

25 Ninazivuruga ishara za wale wanaoongea maneno matupu,*

Na mimi ndiye ninayewafanya wabashiri watende kama wapumbavu;+

Ninayewavuruga watu wenye hekima

Na kubadili ujuzi wao kuwa upumbavu;+

26 Ni mimi ninayefanya neno la mtumishi wangu litimie

Na kutimiza kikamili utabiri wa wajumbe wangu;+

Ninayesema kuhusu Yerusalemu, ‘Litakaliwa,’+

Na kuhusu majiji ya Yuda, ‘Yatajengwa upya,+

Nami nitajenga upya magofu yake’;+

27 Ninayeviambia vilindi vya maji, ‘Kauka,

Nami nitaikausha mito yako yote’;+

28 Ninayesema kumhusu Koreshi,+ ‘Yeye ni mchungaji wangu,

Naye atatimiza kikamili mapenzi yangu yote’;+

Ninayesema kuhusu Yerusalemu, ‘Litajengwa upya,’

Na kuhusu hekalu, ‘Msingi wako utawekwa.’”+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki