Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 30
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Zaburi—Yaliyomo

      • Maombolezo yabadilishwa kuwa shangwe

        • Kibali cha Mungu hudumu maisha yote (5)

Zaburi 30:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “umenivuta.”

Marejeo

  • +Zb 25:2; 41:11

Zaburi 30:2

Marejeo

  • +2Fa 20:5; Zb 6:2; 103:3

Zaburi 30:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “umeiinua nafsi yangu.”

  • *

    Au “Sheoli.” Angalia Kamusi.

  • *

    Au “kaburini.”

Marejeo

  • +Zb 86:13
  • +Zb 16:10; 28:1; Isa 38:17; Yon 2:6

Zaburi 30:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Mpigieni muziki.”

  • *

    Tnn., “Ushukuruni ukumbusho wake.”

Marejeo

  • +Zb 32:11
  • +Kut 3:15

Zaburi 30:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “nia yake njema.”

Marejeo

  • +Isa 12:1
  • +Isa 54:8
  • +Zb 126:5

Zaburi 30:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Sitapepesuka (sitayumbayumba) kamwe.”

Zaburi 30:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “nia yako njema.”

Marejeo

  • +2Sa 5:12; Zb 89:17
  • +Zb 10:1; 143:7

Zaburi 30:8

Marejeo

  • +Zb 34:6; 77:1

Zaburi 30:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Damu yangu ina faida gani.”

  • *

    Au “kaburini.”

Marejeo

  • +Zb 28:1
  • +Zb 6:5; 115:17; Mhu 9:10
  • +Zb 88:11; Isa 38:18

Zaburi 30:10

Marejeo

  • +Zb 143:1
  • +Zb 28:7

Zaburi 30:12

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Ili utukufu wangu uimbe.”

Jumla

Zab. 30:1Zb 25:2; 41:11
Zab. 30:22Fa 20:5; Zb 6:2; 103:3
Zab. 30:3Zb 86:13
Zab. 30:3Zb 16:10; 28:1; Isa 38:17; Yon 2:6
Zab. 30:4Zb 32:11
Zab. 30:4Kut 3:15
Zab. 30:5Isa 12:1
Zab. 30:5Isa 54:8
Zab. 30:5Zb 126:5
Zab. 30:72Sa 5:12; Zb 89:17
Zab. 30:7Zb 10:1; 143:7
Zab. 30:8Zb 34:6; 77:1
Zab. 30:9Zb 28:1
Zab. 30:9Zb 6:5; 115:17; Mhu 9:10
Zab. 30:9Zb 88:11; Isa 38:18
Zab. 30:10Zb 143:1
Zab. 30:10Zb 28:7
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Zaburi 30:1-12

Zaburi

Muziki. Wimbo wa kuizindua nyumba. Wa Daudi.

30 Nitakukweza, Ee Yehova, kwa maana umeniinua* juu;

Hukuruhusu maadui wangu washangilie juu yangu.+

 2 Ee Yehova Mungu wangu, nilikulilia unisaidie, nawe ukaniponya.+

 3 Ee Yehova, umeniinua* kutoka Kaburini.*+

Ulifanya niendelee kuwa hai; uliniokoa nisizame shimoni.*+

 4 Mwimbieni sifa* Yehova, enyi washikamanifu wake,+

Lishukuruni jina lake takatifu;*+

 5 Kwa sababu hasira yake ni ya muda mfupi tu,+

Lakini kibali chake* hudumu maisha yote.+

Huenda kukawa na kilio jioni, lakini asubuhi, kuna kilio cha shangwe.+

 6 Nilipokuwa na amani, nilisema:

“Sitatikiswa kamwe.”*

 7 Ee Yehova, nilipokuwa na kibali chako,* ulinifanya niwe imara kama mlima.+

Lakini ulipouficha uso wako, niliogopa.+

 8 Niliendelea kukulilia wewe, Ee Yehova;+

Nami niliendelea kukusihi wewe, Ee Yehova, unionyeshe kibali.

 9 Kuna faida gani nikifa,* nikishuka shimoni?*+

Je, mavumbi yatakusifu?+ Je, yatasimulia kuhusu uaminifu wako?+

10 Sikia, Ee Yehova, na unionyeshe kibali.+

Ee Yehova, uwe msaidizi wangu.+

11 Umebadili maombolezo yangu kuwa dansi;

Umenivua nguo zangu za magunia, nawe unanivisha shangwe,

12 Ili niimbe* sifa yako, nisinyamaze.

Ee Yehova Mungu wangu, nitakusifu milele.

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki