Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 49
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Zaburi—Yaliyomo

      • Upumbavu wa kuutumaini utajiri

        • Hakuna mwanadamu anayeweza kumkomboa mwingine (7, 8)

        • Mungu hukomboa kutoka Kaburini (15)

        • Utajiri hauwezi kuokoa kutoka katika kifo (16, 17)

Zaburi 49:utangulizi

Marejeo

  • +2Nya 20:19

Zaburi 49:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “wa mfumo wa mambo.”

Zaburi 49:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Wana wa wanadamu na pia wana wa mtu.”

Zaburi 49:3

Marejeo

  • +Zb 143:5

Zaburi 49:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “kosa la.”

Marejeo

  • +Zb 27:1

Zaburi 49:6

Marejeo

  • +Kum 8:17, 18; Met 18:11
  • +Yer 9:23; 1Ti 6:17

Zaburi 49:7

Marejeo

  • +Met 11:4; Mt 16:26

Zaburi 49:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “ukombozi.”

  • *

    Au “nafsi yao.”

Zaburi 49:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “kaburi.”

Marejeo

  • +Zb 89:48

Zaburi 49:10

Marejeo

  • +Mhu 2:16; Ro 5:12
  • +Zb 39:6; Met 11:4; 23:4; Mhu 2:18; Lu 12:19, 20

Zaburi 49:12

Marejeo

  • +Zb 39:5; Yak 1:11
  • +Zb 49:20

Zaburi 49:13

Marejeo

  • +Lu 12:19, 20

Zaburi 49:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Sheoli.” Angalia Kamusi.

  • *

    Au “Sheoli.” Angalia Kamusi.

Marejeo

  • +Mal 4:3
  • +Zb 39:11
  • +Ayu 24:19
  • +1Sa 2:6; Ayu 7:9

Zaburi 49:15

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “ataikomboa nafsi yangu.”

  • *

    Tnn., “mkono wa.”

  • *

    Au “Sheoli.” Angalia Kamusi.

Marejeo

  • +Ayu 33:28; Zb 16:10; 30:3; 86:13

Zaburi 49:17

Marejeo

  • +Ayu 1:21; Mhu 5:15; 1Ti 6:17
  • +Isa 10:3

Zaburi 49:18

Marejeo

  • +Lu 12:19
  • +Met 14:20

Zaburi 49:20

Marejeo

  • +Zb 49:12

Jumla

Zab. 49:utangulizi2Nya 20:19
Zab. 49:3Zb 143:5
Zab. 49:5Zb 27:1
Zab. 49:6Kum 8:17, 18; Met 18:11
Zab. 49:6Yer 9:23; 1Ti 6:17
Zab. 49:7Met 11:4; Mt 16:26
Zab. 49:9Zb 89:48
Zab. 49:10Mhu 2:16; Ro 5:12
Zab. 49:10Zb 39:6; Met 11:4; 23:4; Mhu 2:18; Lu 12:19, 20
Zab. 49:12Zb 39:5; Yak 1:11
Zab. 49:12Zb 49:20
Zab. 49:13Lu 12:19, 20
Zab. 49:14Mal 4:3
Zab. 49:14Zb 39:11
Zab. 49:14Ayu 24:19
Zab. 49:141Sa 2:6; Ayu 7:9
Zab. 49:15Ayu 33:28; Zb 16:10; 30:3; 86:13
Zab. 49:17Ayu 1:21; Mhu 5:15; 1Ti 6:17
Zab. 49:17Isa 10:3
Zab. 49:18Lu 12:19
Zab. 49:18Met 14:20
Zab. 49:20Zb 49:12
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Zaburi 49:1-20

Zaburi

Kwa kiongozi. Muziki wa wana wa Kora.+

49 Sikieni hili, enyi mataifa yote.

Sikilizeni, enyi wakaaji wote wa ulimwengu,*

 2 Wakubwa kwa wadogo,*

Matajiri na pia maskini.

 3 Kinywa changu mwenyewe kitasema maneno ya hekima,

Na kutafakari kwa moyo wangu+ kutaonyesha kwamba nina uelewaji.

 4 Nitasikiliza methali;

Nitategua kitendawili changu kwa kinubi.

 5 Kwa nini niogope nyakati za taabu,+

Ninapozungukwa na uovu wa* wale wanaojaribu kunipindua?

 6 Wale wanaotumaini mali zao+

Na kujigamba kuhusu utajiri wao mwingi,+

 7 Hakuna yeyote kati yao anayeweza kamwe kumkomboa ndugu yake

Wala kumpa Mungu fidia kwa ajili yake,+

 8 (Bei ya fidia* kwa ajili ya uhai wao* ni yenye thamani sana

Hivi kwamba hawawezi kamwe kulipa);

 9 Ili kwamba aishi milele asilione shimo.*+

10 Anaona kwamba hata watu wenye hekima hufa;

Wapumbavu na wasiotumia akili huangamia pamoja,+

Nao hulazimika kuwaachia wengine mali zao.+

11 Ndani yao wanatamani nyumba zao zidumu milele,

Mahema yao kizazi baada ya kizazi.

Wameyaita mashamba yao kwa majina yao.

12 Lakini mwanadamu, ingawa anaheshimiwa, hataendelea kuishi;+

Yeye si bora kuliko wanyama wanaoangamia.+

13 Hiyo ndiyo njia ya wapumbavu+

Na ya wale wanaowafuata, wanaofurahia maneno yao yasiyo na maana. (Sela)

14 Kama kondoo, wamepangiwa kwenda Kaburini.*

Kifo kitawachunga;

Wanyoofu watawatawala+ asubuhi.

Kila sehemu ya mwili wao itatoweka kabisa;+

Kaburi*+ litakuwa makao yao badala ya jumba la mfalme.+

15 Lakini Mungu atanikomboa* kutoka katika nguvu za* Kaburi,*+

Kwa maana atanishika. (Sela)

16 Usiogope mtu anapotajirika,

Fahari ya nyumba yake ikiongezeka,

17 Kwa maana akifa hawezi kwenda na kitu chochote;+

Fahari yake haitashuka shimoni pamoja naye.+

18 Kwa maana wakati wa maisha yake anajipongeza mwenyewe.+

(Watu hukusifu unapopata ufanisi.)+

19 Lakini mwishowe hujiunga na kizazi cha mababu zake.

Hawataona nuru tena kamwe.

20 Mtu ambaye haelewi jambo hili, ingawa anaheshimiwa,+

Yeye si bora kuliko wanyama wanaoangamia.

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki