Zaburi
Kwa kiongozi; uimbwe kwa vinanda. Wa Daudi.
61 Ee Mungu, sikia kilio changu cha kuomba msaada.
Sikiliza sala yangu.+
Niongoze kwenye mwamba ulio juu kuliko mimi.+
3 Kwa maana wewe ni kimbilio langu,
Mnara ulio imara unaonilinda dhidi ya adui.+
5 Kwa maana wewe, Ee Mungu, umesikia nadhiri zangu.
Umenipa urithi wa wale wanaoliogopa jina lako.+
6 Utamwongezea mfalme siku za maisha yake,+
Na miaka yake itatoka kizazi hadi kizazi.