Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 61
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Zaburi—Yaliyomo

      • Mungu ni mnara wenye nguvu dhidi ya maadui

        • “Nitakuwa mgeni katika hema lako” (4)

Zaburi 61:1

Marejeo

  • +Zb 5:2; 17:1; 28:2; 55:1

Zaburi 61:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Moyo wangu unapodhoofika.”

Marejeo

  • +Yon 2:2
  • +Zb 27:5; 40:2

Zaburi 61:3

Marejeo

  • +1Sa 17:45; Zb 18:2; Met 18:10

Zaburi 61:4

Marejeo

  • +Zb 23:6; 27:4
  • +Zb 63:7

Zaburi 61:5

Marejeo

  • +Zb 115:13

Zaburi 61:6

Marejeo

  • +Zb 18:50; 21:1, 4

Zaburi 61:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Atakaa.”

Marejeo

  • +2Sa 7:16, 17; Zb 41:12
  • +Zb 40:11; 143:12; Met 20:28

Zaburi 61:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “nitalipigia muziki.”

Marejeo

  • +Zb 146:2
  • +Zb 65:1; 66:13; Mhu 5:4

Jumla

Zab. 61:1Zb 5:2; 17:1; 28:2; 55:1
Zab. 61:2Yon 2:2
Zab. 61:2Zb 27:5; 40:2
Zab. 61:31Sa 17:45; Zb 18:2; Met 18:10
Zab. 61:4Zb 23:6; 27:4
Zab. 61:4Zb 63:7
Zab. 61:5Zb 115:13
Zab. 61:6Zb 18:50; 21:1, 4
Zab. 61:72Sa 7:16, 17; Zb 41:12
Zab. 61:7Zb 40:11; 143:12; Met 20:28
Zab. 61:8Zb 146:2
Zab. 61:8Zb 65:1; 66:13; Mhu 5:4
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Zaburi 61:1-8

Zaburi

Kwa kiongozi; uimbwe kwa vinanda. Wa Daudi.

61 Ee Mungu, sikia kilio changu cha kuomba msaada.

Sikiliza sala yangu.+

 2 Nitakulilia kwa sauti kutoka katika miisho ya dunia

Ninapovunjika moyo.*+

Niongoze kwenye mwamba ulio juu kuliko mimi.+

 3 Kwa maana wewe ni kimbilio langu,

Mnara ulio imara unaonilinda dhidi ya adui.+

 4 Nitakuwa mgeni katika hema lako milele;+

Nitakimbilia katika kivuli cha mabawa yako.+ (Sela)

 5 Kwa maana wewe, Ee Mungu, umesikia nadhiri zangu.

Umenipa urithi wa wale wanaoliogopa jina lako.+

 6 Utamwongezea mfalme siku za maisha yake,+

Na miaka yake itatoka kizazi hadi kizazi.

 7 Ataketi kwenye kiti cha ufalme* milele mbele za Mungu;+

Mpe upendo wako mshikamanifu na uaminifu, ili vimlinde.+

 8 Kisha nitaliimbia sifa* jina lako milele+

Ninapotimiza nadhiri zangu siku baada ya siku.+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki