Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 71
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Zaburi—Yaliyomo

      • Tegemeo la waliozeeka

        • Kumtumaini Mungu tangu wakati wa ujana (5)

        • “Ninapoishiwa na nguvu” (9)

        • ‘Mungu amenifundisha tangu nilipokuwa kijana’ (17)

Zaburi 71:1

Marejeo

  • +Zb 25:2; 31:1-3; Isa 45:17; Yer 17:18

Zaburi 71:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Inama chini na unisikilize.”

Marejeo

  • +Zb 34:15

Zaburi 71:3

Marejeo

  • +2Sa 22:2, 3; Zb 18:2; 144:2

Zaburi 71:4

Marejeo

  • +Zb 17:8, 9; 59:1; 140:4; Mt 6:13

Zaburi 71:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Wewe ni tegemeo langu.”

Marejeo

  • +1Sa 17:45; Yer 17:7

Zaburi 71:6

Marejeo

  • +Zb 22:9, 10; 139:16; Isa 46:3

Zaburi 71:8

Marejeo

  • +Zb 51:15; Ebr 13:15

Zaburi 71:9

Marejeo

  • +Zb 92:14
  • +Zb 73:26; Mhu 12:3

Zaburi 71:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “wanaoitafuta nafsi yangu.”

Marejeo

  • +2Sa 17:1, 2

Zaburi 71:11

Marejeo

  • +Zb 3:2; 42:10; Mt 27:42, 43

Zaburi 71:12

Marejeo

  • +Zb 22:11; 35:22; 38:21, 22

Zaburi 71:13

Marejeo

  • +2Sa 17:23
  • +Zb 109:29

Zaburi 71:15

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “kuyahesabu.”

Marejeo

  • +Zb 35:28; 40:9
  • +Zb 40:5

Zaburi 71:17

Marejeo

  • +Zb 71:5
  • +2Sa 22:1; 1Nya 16:4; Zb 9:1

Zaburi 71:18

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “mkono wako.”

Marejeo

  • +Zb 37:25; 71:9
  • +Kut 13:8; 1Nya 29:10, 11; Zb 78:2-4

Zaburi 71:19

Marejeo

  • +Zb 36:6
  • +Kut 15:11; Zb 86:8; 89:6; Yer 10:7

Zaburi 71:20

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “vilindi vya.”

Marejeo

  • +2Sa 12:10, 11
  • +Zb 40:2; 86:13

Zaburi 71:22

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Nitakupigia muziki.”

Marejeo

  • +Zb 25:10; 108:4; 146:6

Zaburi 71:23

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “umeikomboa nafsi yangu.”

Marejeo

  • +Zb 63:5; 104:33
  • +2Sa 4:9; Zb 103:4

Zaburi 71:24

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “utatafakari.”

Marejeo

  • +Zb 71:8
  • +Zb 71:13

Jumla

Zab. 71:1Zb 25:2; 31:1-3; Isa 45:17; Yer 17:18
Zab. 71:2Zb 34:15
Zab. 71:32Sa 22:2, 3; Zb 18:2; 144:2
Zab. 71:4Zb 17:8, 9; 59:1; 140:4; Mt 6:13
Zab. 71:51Sa 17:45; Yer 17:7
Zab. 71:6Zb 22:9, 10; 139:16; Isa 46:3
Zab. 71:8Zb 51:15; Ebr 13:15
Zab. 71:9Zb 92:14
Zab. 71:9Zb 73:26; Mhu 12:3
Zab. 71:102Sa 17:1, 2
Zab. 71:11Zb 3:2; 42:10; Mt 27:42, 43
Zab. 71:12Zb 22:11; 35:22; 38:21, 22
Zab. 71:132Sa 17:23
Zab. 71:13Zb 109:29
Zab. 71:15Zb 35:28; 40:9
Zab. 71:15Zb 40:5
Zab. 71:17Zb 71:5
Zab. 71:172Sa 22:1; 1Nya 16:4; Zb 9:1
Zab. 71:18Zb 37:25; 71:9
Zab. 71:18Kut 13:8; 1Nya 29:10, 11; Zb 78:2-4
Zab. 71:19Zb 36:6
Zab. 71:19Kut 15:11; Zb 86:8; 89:6; Yer 10:7
Zab. 71:202Sa 12:10, 11
Zab. 71:20Zb 40:2; 86:13
Zab. 71:22Zb 25:10; 108:4; 146:6
Zab. 71:23Zb 63:5; 104:33
Zab. 71:232Sa 4:9; Zb 103:4
Zab. 71:24Zb 71:8
Zab. 71:24Zb 71:13
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Zaburi 71:1-24

Zaburi

71 Nimekukimbilia wewe, Ee Yehova.

Usiache niaibishwe kamwe.+

 2 Niokoe na kuninusuru kwa uadilifu wako.

Nitegee sikio lako* na uniokoe.+

 3 Uwe ngome ya mwamba kwangu

Ambamo ninaweza kuingia sikuzote.

Toa amri ya kuniokoa,

Kwa maana wewe ni jabali langu na ngome yangu.+

 4 Ee Mungu wangu, niokoe kutoka mikononi mwa mwovu,+

Kutoka katika makucha ya mkandamizaji asiyetenda haki.

 5 Kwa maana wewe ni tumaini langu, Ee Bwana Mwenye Enzi Kuu, Yehova;

Nimekutumaini wewe* tangu nilipokuwa kijana.+

 6 Nimekutegemea tangu nilipozaliwa;

Wewe ndiye uliyenitoa tumboni mwa mama yangu.+

Ninakusifu daima.

 7 Nimekuwa kama muujiza kwa watu wengi,

Lakini wewe ni kimbilio langu imara.

 8 Kinywa changu kimejaa sifa zako;+

Mchana kutwa ninasimulia kuhusu fahari yako.

 9 Usinitupe wakati wa uzee;+

Usiniache ninapoishiwa na nguvu.+

10 Maadui wangu wanasema mambo mabaya kunihusu,

Na wale wanaotaka kuniua* wanapanga njama pamoja,+

11 Wakisema: “Mungu amemwacha.

Mkimbizeni na kumkamata, kwa maana hakuna yeyote wa kumwokoa.”+

12 Ee Mungu, usiendelee kukaa mbali nami.

Ee Mungu wangu, njoo haraka unisaidie.+

13 Wale wanaonipinga

Na waaibishwe na kuangamia.+

Wale wanaonitakia msiba

Na wafunikwe na aibu na fedheha.+

14 Lakini mimi, nitaendelea kungoja;

Nitakusifu hata zaidi.

15 Kinywa changu kitasimulia uadilifu wako,+

Mchana kutwa kitasimulia matendo yako ya wokovu,

Ingawa ni mengi sana kwangu kuyajua.*+

16 Nitakuja na kutangaza matendo yako yenye nguvu,

Ee Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova;

Nitatangaza uadilifu wako, wako peke yako.

17 Ee Mungu, umenifundisha tangu nilipokuwa kijana,+

Na mpaka sasa ninaendelea kutangaza kazi zako zinazostaajabisha.+

18 Ee Mungu, hata nikizeeka na kuwa na mvi, usiniache.+

Acha nikiambie kizazi kijacho kuhusu nguvu zako*

Na kuwaambia wote watakaokuja kuhusu uwezo wako.+

19 Uadilifu wako, Ee Mungu, unafika vileleni;+

Umetenda mambo makuu;

Ee Mungu, ni nani aliye kama wewe?+

20 Ingawa umenifanya nipate taabu nyingi na misiba mingi,+

Nihuishe tena;

Niinue kutoka katika sehemu zenye kina za* dunia.+

21 Ongeza ukuu wangu

Nizunguke na kunifariji.

22 Kisha nitakusifu kwa zeze

Kwa sababu ya uaminifu wako, Ee Mungu wangu.+

Nitaimba sifa zako* kwa kinubi,

Ee Mtakatifu wa Israeli.

23 Midomo yangu itapaza sauti kwa shangwe ninapokuimbia sifa,+

Kwa maana umeokoa uhai wangu.*+

24 Ulimi wangu utaongea* kuhusu uadilifu wako mchana kutwa,+

Kwa maana wale wanaotaka kuniangamiza wataaibishwa na kufedheheshwa.+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki