Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Nehemia 1
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Nehemia—Yaliyomo

      • Habari kutoka Yerusalemu (1-3)

      • Sala ya Nehemia (4-11)

Nehemia 1:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Maana yake “Yah Hufariji.”

  • *

    Angalia Nyongeza B15.

  • *

    Au “jumba la mfalme la.”

  • *

    Au “Susa.”

Marejeo

  • +Ne 1:11; 5:14; 10:1
  • +Est 1:2; 3:15; Da 8:2

Nehemia 1:2

Marejeo

  • +Ne 7:2
  • +Yer 52:30

Nehemia 1:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “wilaya ya utawala.”

Marejeo

  • +1Fa 9:7; Ne 9:36, 37; Zb 79:4
  • +2Fa 25:10
  • +Ne 2:17; Omb 1:4

Nehemia 1:4

Marejeo

  • +2Nya 20:3; Ezr 8:21

Nehemia 1:5

Marejeo

  • +Kum 7:9; Da 9:4

Nehemia 1:6

Marejeo

  • +Zb 88:1; Lu 18:7
  • +2Nya 29:6; Ezr 9:6

Nehemia 1:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “maamuzi ya hukumu uliyomwagiza.”

Marejeo

  • +Zb 106:6
  • +Law 27:34; Hes 36:13; Kum 12:1; Ne 9:34

Nehemia 1:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “onyo ulilompa.”

Marejeo

  • +Law 26:33; Kum 4:27; 28:64

Nehemia 1:9

Marejeo

  • +Kum 30:1-4
  • +Kum 12:5; Zb 132:13

Nehemia 1:10

Marejeo

  • +Law 25:42; Kum 5:15; 9:26, 29

Nehemia 1:11

Marejeo

  • +1Fa 8:49, 50; Ezr 7:6; Zb 106:46; Met 21:1
  • +Ne 2:1

Jumla

Neh. 1:1Ne 1:11; 5:14; 10:1
Neh. 1:1Est 1:2; 3:15; Da 8:2
Neh. 1:2Ne 7:2
Neh. 1:2Yer 52:30
Neh. 1:31Fa 9:7; Ne 9:36, 37; Zb 79:4
Neh. 1:32Fa 25:10
Neh. 1:3Ne 2:17; Omb 1:4
Neh. 1:42Nya 20:3; Ezr 8:21
Neh. 1:5Kum 7:9; Da 9:4
Neh. 1:62Nya 29:6; Ezr 9:6
Neh. 1:6Zb 88:1; Lu 18:7
Neh. 1:7Zb 106:6
Neh. 1:7Law 27:34; Hes 36:13; Kum 12:1; Ne 9:34
Neh. 1:8Law 26:33; Kum 4:27; 28:64
Neh. 1:9Kum 30:1-4
Neh. 1:9Kum 12:5; Zb 132:13
Neh. 1:10Law 25:42; Kum 5:15; 9:26, 29
Neh. 1:111Fa 8:49, 50; Ezr 7:6; Zb 106:46; Met 21:1
Neh. 1:11Ne 2:1
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Nehemia 1:1-11

Nehemia

1 Maneno ya Nehemia*+ mwana wa Hakalia: Sasa katika mwezi wa Kislevu,* mwaka wa 20, mimi nilikuwa katika ngome ya* Shushani.*+ 2 Wakati huo Hanani,+ mmoja wa ndugu zangu, akaja pamoja na watu wengine kutoka Yuda, nami nikawauliza kuhusu Wayahudi waliobaki walioponyoka kutoka utekwani,+ na pia kuhusu Yerusalemu. 3 Wakanijibu: “Wale waliobaki na kuponyoka utekwani ambao wamebaki katika mkoa* ule wako katika hali mbaya sana na yenye kuaibisha.+ Kuta za Yerusalemu zimebomolewa,+ na malango yake yameteketezwa kwa moto.”+

4 Mara tu niliposikia maneno hayo, nikaketi chini na kuanza kulia na kuomboleza kwa siku nyingi, nami nikaendelea kufunga+ na kusali mbele za Mungu wa mbinguni. 5 Nikasema: “Ee Yehova, Mungu wa mbinguni, Mungu mkuu na mwenye kuogopesha, unayeshika agano lako na kuwatendea kwa upendo mshikamanifu wale wanaokupenda na kushika amri zako,+ 6 tafadhali, tega sikio lako na ufungue macho yako ili usikilize sala ambayo mimi mtumishi wako ninakutolea leo, mchana na usiku,+ kuhusu watumishi wako Waisraeli, nikiungama dhambi ambazo watu wa Israeli wamekutendea. Tumetenda dhambi, mimi pamoja na nyumba ya baba yangu.+ 7 Kwa hakika tumetenda mambo mapotovu dhidi yako+ kwa kuwa hatukushika amri, masharti, na sheria ulizompa* mtumishi wako Musa.+

8 “Tafadhali, kumbuka neno ulilomwamuru* Musa mtumishi wako, ukisema: ‘Msipotenda kwa uaminifu, nitawatawanya miongoni mwa mataifa.+ 9 Lakini mkinirudia na kuzishika amri zangu na kuzitii, hata ingawa mtakuwa mmetawanyika mpaka kwenye mwisho wa mbingu, nitawakusanya+ na kuwaleta mahali ambapo nimepachagua ili jina langu likae hapo.’+⁠ 10 Wao ni watumishi wako na watu wako, uliowakomboa kwa uwezo wako mkubwa na kwa mkono wako wenye nguvu.+ 11 Ee Yehova, tafadhali, tega sikio lako usikilize sala yangu mimi mtumishi wako na sala ya watumishi wako wanaofurahia kulihofu jina lako, na tafadhali, nipe mimi mtumishi wako mafanikio leo, ili mtu huyu anihurumie.”+

Basi mimi nilikuwa msimamizi wa vinywaji vya mfalme.+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki