Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wathesalonike 1
  • Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

2 Wathesalonike 1:1

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    “Kila Andiko,” uku. 232

2 Wathesalonike 1:3

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    The Watchtower,

    11/15/2005, uku. 32

2 Wathesalonike 1:6

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Furahia Maisha Milele!, somo la 33

    Mnara wa Mlinzi,

    11/15/2004, uku. 19

2 Wathesalonike 1:7

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    11/15/2004, uku. 19

    5/1/1993, uku. 22

2 Wathesalonike 1:8

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Furahia Maisha Milele!, somo la 33

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    9/2019, kur. 12-13

    Mnara wa Mlinzi,

    11/15/2004, uku. 19

    5/1/1993, uku. 22

    5/1/1989, uku. 19

    1/1/1989, uku. 20

2 Wathesalonike 1:9

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    5/1/1989, uku. 19

    Kutoa Sababu, uku. 157

2 Wathesalonike 1:11

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu,

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.
  • Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
2 Wathesalonike 1:1-12

2 Wathesalonike

Ya Pili kwa Wathesalonike

1 Paulo na Silvano na Timotheo kwa kutaniko la Wathesalonike katika muungano na Mungu Baba yetu na Bwana Yesu Kristo:

2 Na mwe na fadhili isiyostahiliwa na amani kutoka kwa Mungu Baba na Bwana Yesu Kristo.

3 Tunawajibika kumshukuru Mungu sikuzote kwa ajili yenu, akina ndugu, kama inavyofaa, kwa sababu imani yenu inakua mno na upendo wa kila mmoja na wa nyinyi nyote unaongezeka mmoja kuelekea mwingine. 4 Tokeo ni kwamba sisi wenyewe twawaonea nyinyi fahari miongoni mwa makutaniko ya Mungu kwa sababu ya uvumilivu wenu na imani katika minyanyaso yenu yote na dhiki mnazohimili. 5 Hii ni ithibati ya hukumu ya uadilifu ya Mungu, inayoongoza kwenye kuhesabiwa kwenu kustahili ufalme wa Mungu, ambao kwa ajili ya huo kwa kweli mnateseka.

6 Hili ni kwa kuzingatia kwamba ni jambo la uadilifu kwa upande wa Mungu kulipa dhiki kwa wale wawafanyiao nyinyi dhiki, 7 lakini, kwenu nyinyi mpatwao na dhiki, kitulizo pamoja nasi kwenye ufunuo wa Bwana Yesu kutoka mbinguni pamoja na malaika zake wenye nguvu 8 katika moto wenye kuwaka mwali, aletapo kisasi juu ya wale wasiomjua Mungu na wale wasiotii habari njema juu ya Bwana wetu Yesu. 9 Hawahawa watapatwa na adhabu ya kihukumu ya uharibifu udumuo milele kutoka mbele ya Bwana na kutoka katika utukufu wa nguvu yake, 10 wakati ajapo kutukuzwa kuhusiana na watakatifu wake na kuonwa kwa kustaajabiwa katika siku hiyo kuhusiana na wote wale waliodhihirisha imani, kwa sababu ushahidi tuliotoa ulikubaliwa kwa imani miongoni mwenu.

11 Kwa madhumuni yaleyale kwa kweli sisi twasali sikuzote kwa ajili yenu, kwamba Mungu wetu apate kuwahesabia nyinyi kuwa wenye kustahili wito wake na kufanya kabisa yote apendayo ya wema na kazi ya imani kwa nguvu; 12 ili jina la Bwana wetu Yesu lipate kutukuzwa katika nyinyi, nanyi katika muungano na yeye, kwa kupatana na fadhili isiyostahiliwa ya Mungu wetu na ya Bwana Yesu Kristo.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki