Mwanzo 2:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Hivyo Yehova Mungu akachipusha katika nchi kila mti wenye kutamanika kwa macho ya mtu na ulio mwema kwa ajili ya chakula na pia mti wa uzima+ katikati ya bustani na mti wa ujuzi wa mema na mabaya.+
9 Hivyo Yehova Mungu akachipusha katika nchi kila mti wenye kutamanika kwa macho ya mtu na ulio mwema kwa ajili ya chakula na pia mti wa uzima+ katikati ya bustani na mti wa ujuzi wa mema na mabaya.+