Mwanzo 17:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Basi Mungu akasema: “Sara mke wako kwa kweli atakuzalia mwana, nawe utamwita jina lake Isaka.+ Nami nitafanya agano langu pamoja naye kuwa agano la mpaka wakati usio na kipimo kwa uzao wake baada yake.+ Mwanzo 26:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Basi huyo mwanamume akawa mkuu na kuendelea kusonga zaidi na zaidi na kuwa mkuu mpaka akawa mkuu sana.+
19 Basi Mungu akasema: “Sara mke wako kwa kweli atakuzalia mwana, nawe utamwita jina lake Isaka.+ Nami nitafanya agano langu pamoja naye kuwa agano la mpaka wakati usio na kipimo kwa uzao wake baada yake.+
13 Basi huyo mwanamume akawa mkuu na kuendelea kusonga zaidi na zaidi na kuwa mkuu mpaka akawa mkuu sana.+