Mwanzo 10:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Basi mpaka wa Mkanaani ukawa kutoka Sidoni mpaka Gerari,+ karibu na Gaza,+ mpaka Sodoma na Gomora+ na Adma+ na Seboiimu,+ karibu na Lasha. Mwanzo 20:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Sasa Abrahamu akahamisha kambi kutoka huko+ mpaka nchi ya Negebu na kuanza kukaa katikati ya Kadeshi+ na Shuri+ na kukaa akiwa mgeni Gerari.+
19 Basi mpaka wa Mkanaani ukawa kutoka Sidoni mpaka Gerari,+ karibu na Gaza,+ mpaka Sodoma na Gomora+ na Adma+ na Seboiimu,+ karibu na Lasha.
20 Sasa Abrahamu akahamisha kambi kutoka huko+ mpaka nchi ya Negebu na kuanza kukaa katikati ya Kadeshi+ na Shuri+ na kukaa akiwa mgeni Gerari.+