Mwanzo 27:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Ndipo mama yake akajibu, akamwambia: “Laana uliyokusudiwa wewe na iwe juu yangu, mwanangu.+ Ila tu sikiliza sauti yangu na uende, uniletee hao.”+ Mwanzo 27:43 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 43 Sasa, basi, mwanangu, sikiliza sauti yangu, ondoka,+ ukimbilie kwa Labani ndugu yangu huko Harani.+ Methali 1:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Mwanangu, sikiliza nidhamu ya baba yako,+ wala usiiache sheria ya mama yako.+ Waefeso 6:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Enyi watoto, watiini wazazi+ wenu katika muungano+ na Bwana, kwa maana hilo ni jambo la uadilifu:+
13 Ndipo mama yake akajibu, akamwambia: “Laana uliyokusudiwa wewe na iwe juu yangu, mwanangu.+ Ila tu sikiliza sauti yangu na uende, uniletee hao.”+
43 Sasa, basi, mwanangu, sikiliza sauti yangu, ondoka,+ ukimbilie kwa Labani ndugu yangu huko Harani.+