Waebrania 12:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Kwa maana mnajua kwamba baadaye pia alipotaka kuirithi baraka+ alikataliwa,+ kwa maana, ijapokuwa alitafuta kwa bidii badiliko la akili kwa machozi,+ hakupata nafasi kwa ajili ya jambo hilo.+
17 Kwa maana mnajua kwamba baadaye pia alipotaka kuirithi baraka+ alikataliwa,+ kwa maana, ijapokuwa alitafuta kwa bidii badiliko la akili kwa machozi,+ hakupata nafasi kwa ajili ya jambo hilo.+