Mwanzo 28:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Basi Isaka akamwita Yakobo akambariki na kumwamuru akisema: “Usichukue mke kutoka kwa binti za Kanaani.+ 2 Wakorintho 6:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Msifungwe nira isivyo sawa pamoja na wasio waamini.+ Kwa maana kuna ushirika gani kati ya uadilifu na uasi-sheria?+ Au nuru ina ushirika gani na giza?+
28 Basi Isaka akamwita Yakobo akambariki na kumwamuru akisema: “Usichukue mke kutoka kwa binti za Kanaani.+
14 Msifungwe nira isivyo sawa pamoja na wasio waamini.+ Kwa maana kuna ushirika gani kati ya uadilifu na uasi-sheria?+ Au nuru ina ushirika gani na giza?+