41 Nina jumla ya miaka 20 nyumbani kwako. Mimi nimekutumikia miaka 14 kwa ajili ya binti zako wawili na miaka 6 kwa ajili ya kundi lako, nawe ulizidi kubadili mshahara wangu mara kumi.+
12 Ongezeni sana pesa na zawadi za ndoa mnazonitoza,+ nami niko tayari kutoa kulingana na mtakavyoniambia; ila tu nipeni huyo mwanamke kijana awe mke wangu.”