Hesabu 11:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Kwa hiyo ikiwa hivi ndivyo unavyonifanyia, tafadhali niue kabisa,+ ikiwa nimepata kibali machoni pako, wala usiache niutazame msiba wangu.” 1 Samweli 1:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Na huyo mwanamke alikuwa na uchungu katika nafsi,+ akaanza kusali+ kwa Yehova na kulia sana.+ Yeremia 20:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kwa nini nimetoka ndani ya tumbo la uzazi+ ili kuona kazi ngumu na huzuni+ na ili siku zangu zifikie mwisho wake katika aibu tupu?+
15 Kwa hiyo ikiwa hivi ndivyo unavyonifanyia, tafadhali niue kabisa,+ ikiwa nimepata kibali machoni pako, wala usiache niutazame msiba wangu.”
18 Kwa nini nimetoka ndani ya tumbo la uzazi+ ili kuona kazi ngumu na huzuni+ na ili siku zangu zifikie mwisho wake katika aibu tupu?+